Hiko sio tu kitambi ni ndambi mtoto mdogo ndambi ya MNEcMbona mmeamua kutufanyia fujo leo humu na hivi vitambi
Mbona mwili wako unaonesha kama mtu aliyepigana vita ya kwanza ya dunia



badili mtindo wako wa maisha kabla hujachelewa. Uko hatarini kupata kisukari na magonjwa ya moyo.Ndio
Acha uongo afanye zoeziChemsha mdalasini mpaka ubadilike kama chai ya rangi kunywa asubuhi na jioni.
Kuna mdalasini wa unga na magome
Usiweke sukari
Unaharufu Kali hivyo ukinywa Minya pua, ili usijekinai...
Mi ninakamwili fulani hivi...![]()
Mbona mmeamua kutufanyia fujo leo humu na hivi vitambi