Msaada wa kupata Power Supply ya Apple iMac Desk Top.

Msaada wa kupata Power Supply ya Apple iMac Desk Top.

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
25,443
Reaction score
46,201
Wakuu poleni sana kwa Mvua,nina Desktop yangu aina ya Apple iMac Power Supply yake imekufa,AC INPUT yake ni 100-240v, 50-60Hz 3.5A na TOTAL 180w MAX. Na pia iMac hii hii niliingiza wrong Password ikajifunga so ilikuwa inawaka tuu,nilijaribu kuuliza kwa Watu wakaniambia kuwa itabidi nibadili Window,sasa naomba mwenye huo utaalamu anisaidie kwa kuni PM au hapa hapa jamvini.Asanteni!
 
kama imejifunga kwa pasword, tumia restore disc iliyokuja nayo kipindi unainunua. Kama huna inabidi ununue apple store au tafuta kwenye torent udownload. Pia waweza fika idigital (duka la bidhaa za apple) wakakufanyia wenyewe.
 
Wakuu poleni sana kwa Mvua,nina Desktop yangu aina ya Apple iMac Power Supply yake imekufa,AC INPUT yake ni 100-240v, 50-60Hz 3.5A na TOTAL 180w MAX. Na pia iMac hii hii niliingiza wrong Password ikajifunga so ilikuwa inawaka tuu,nilijaribu kuuliza kwa Watu wakaniambia kuwa itabidi nibadili Window,sasa naomba mwenye huo utaalamu anisaidie kwa kuni PM au hapa hapa jamvini.Asanteni!

nenda istore wanazo, jiandae maana wale jamaa wana bei vibaya.
 
kama imejifunga kwa pasword, tumia restore disc iliyokuja nayo kipindi unainunua. Kama huna inabidi ununue apple store au tafuta kwenye torent udownload. Pia waweza fika idigital (duka la bidhaa za apple) wakakufanyia wenyewe.

Asante sana Mkuu,nitafanya hivyo.
 
Nenda elite ndio mabingwa wa kitu chochote cha imac(apple). Ila jiandae kifedha au kama unataka nikupe no ya fundi wa elite
 
Me naongelea Elite ya Dar sijui kama mwanza wana branch. No hii
0713 966 641 anaitwa Adamu wasiliana nae ndio fundi wa Elite aliwahi kunitengenezea pc yangu ya mac ambayo nilikuwa nishakata tamaa nayo.
 
Me naongelea Elite ya Dar sijui kama mwanza wana branch. No hii
0713 966 641 anaitwa Adamu wasiliana nae ndio fundi wa Elite aliwahi kunitengenezea pc yangu ya mac ambayo nilikuwa nishakata tamaa nayo.

Asante Mkuu Mangare100.
 
Back
Top Bottom