Nilivoenda kwenye tawi lao sehemu ya masharti walionipa ni:
1 niwe dereva au mmiliki wa bodaboda /bajaj au niwe muajiriwa (serikalini au taasisi binafsi).
2. Uwe na uwezo wa kulipia 20% ya gharama ya chombo unachohitaji (mkopo watakupa 80% ya bei ya chombo hicho, wewe ulipie ile 20% inayobaki)
3. Bima ya chombo utakata kwao.
4. Mengine nimeyasahau.
Kama vipi tembelea kwenye tawi lao utapewa maelekezo zaidi.