Maybe ni suala la mtandao. Ukiingia walipoandika "Vacancies" utaziona hzo kazi na vigezo vyake. Kwenye ku-apply ingia walipoandika "Job Application", hapo ndo mtandao unasumbua kiac flan, but usichoke, jarbu mara kwa mara, inachukua muda kufunguka. Hakuna alternative way, coz ni online application tu!!
asante tajaribu tena