Rooter=routerhabar wanajamvi naombeni msaada wenu ktk kujuwa ni aina gani ya rooter ni bora kwa matumiz ya kioffice naomba ushaur wenu
Tafuta TPLINK ni router nzzuri sana na ni dual band yan ni 802.11g/n up to 600mbs na kun zingine ni 802.11ac ingawa nadhan itakuwa ghali hii. Bt hiyo ya kwanza ndio muafaka sana unachomeka modem ya mtandao wowote unao fanya vizuri hapo ulipo na ina ina port za Ethernet kama 5 hiv ambazo unweza kutumia kam hub kwa pc ambazo hazina WI-FI jaribu hiyo.ina uwezo wa ku run had pc 100Habar wanajamvi naombeni msaada wenu katika kujuwa ni aina gani ya router ni bora kwa matumiz ya kioffice naomba ushauri wenu
Mkuu umeweza Ku unlock hzi za smile?Tafuta router ya smile ipo poa sana then unlock inaingiza simcard zote,coz ni 4G,inaconnect device 32 kwa wireless na inaoption ya lan,speed yake ni 150mbps na huawei ipo poa sana mm natumia
Naweza laki zile kubwa za huaweiMkuu umeweza Ku unlock hzi za smile?
Yangu haina port ya Ethernet je inawezekana?Naweza laki zile kubwa za huawei
HII NI NZURI, GHALAMA YAKE KIASI GANI?Tafuta TPLINK ni router nzzuri sana na ni dual band yan ni 802.11g/n up to 600mbs na kun zingine ni 802.11ac ingawa nadhan itakuwa ghali hii. Bt hiyo ya kwanza ndio muafaka sana unachomeka modem ya mtandao wowote unao fanya vizuri hapo ulipo na ina ina port za Ethernet kama 5 hiv ambazo unweza kutumia kam hub kwa pc ambazo hazina WI-FI jaribu hiyo.ina uwezo wa ku run had pc 100
Haipungui 150,000/ na haizid 250,000/HII NI NZURI, GHALAMA YAKE KIASI GANI?
this, natilia mkazo hii commentTafuta TPLINK ni router nzzuri sana na ni dual band yan ni 802.11g/n up to 600mbs na kun zingine ni 802.11ac ingawa nadhan itakuwa ghali hii. Bt hiyo ya kwanza ndio muafaka sana unachomeka modem ya mtandao wowote unao fanya vizuri hapo ulipo na ina ina port za Ethernet kama 5 hiv ambazo unweza kutumia kam hub kwa pc ambazo hazina WI-FI jaribu hiyo.ina uwezo wa ku run had pc 100
Mkuu kuna Router nataka kuchukua D-Link DWR-921, sehemu itakayotumika ni ya ghorofa moja na wastani ya watumiaji ni kama 10, pia inatakiwa itumike na kwa nje umbali kama wa mita 50-80 Inauzwa 300,000. Vipi itafaa?this, natilia mkazo hii comment
kama kweli unataka kurun office yako kama pro hakikisha router yako wifi yake ni hio inayoishiwa na ac ambayo ina frequency zote 2.4ghz na 5ghz utapata wifi safi isiodisconect wala kushukashuka signal.
soma zaidi hii thread
Here's why you should use 5GHz WiFi instead of 2.4GHz - Pocketnow
mkuu nimecheki reviews zake haiwezi fika huo umbali, achana na mita 50 hata mita 15 inasumbukaMkuu kuna Router nataka kuchukua D-Link DWR-921, sehemu itakayotumika ni ya ghorofa moja na wastani ya watumiaji ni kama 10, pia inatakiwa itumike na kwa nje umbali kama wa mita 50-80 Inauzwa 300,000. Vipi itafaa?
Asante.mkuu nimecheki reviews zake haiwezi fika huo umbali, achana na mita 50 hata mita 15 inasumbuka
Asante.
Unaweza kunisaidia kunipa options za router nyingine ambazo naweza nikazipata kirahisi hapa hapa TZ kwa vigezo hivyo.
angalia hapa mkuuAsante.
Unaweza kunisaidia kunipa options za router nyingine ambazo naweza nikazipata kirahisi hapa hapa TZ kwa vigezo hivyo.
speed yake ni 3G angalia mwenyewe kama inakufaa matumizi yako, ila 4G inapendeza zaidiMkuu naomba kuliza router kama hii inafaa kwa kaz za internet![]()