mkuu kuweka code kama hizo hazimaanishi kama simu ni original. hasa kwa sikku hizi. hao wanaotengeneza simu fake wanalijua hilo na wao wanafanya mtu akiweka hizo namba inakubalihabari zenu wadau?'
je kuna yoyote anaejua "code" ambazo zinamsaidia mtu kujua kama simu ni original?
Mfano, Nokia {*#0000#}
Naomba msaada kwa zile simu nyingine, kwa anaejua...