Thnx indeednakushauri yafuatayo,
mosi ingia kwenye website zao,usome usipofanikiwa ndio uulize
pili ada inategemea na aina ya kozi na wengine wanaenda mbali kwa kuchaji kwa unit
tatu,vyuo vingi sasa vina online prospectus tafadhali jaribu kupitia pia
mwisho,unasoma kwa thesis au dessertation?kwa mwanafunzi wa PhD nategemea ulipoweka nia ulianza kutafuta data za vyuo husika kabla ya kuuliza.
nakutakia masomo mema
Labda kama ulimaliza Permanent Head Damage (PhD) na sio Doctor of Philosophy'.Nimemaliza mwaka huu tu lakini ada nishaisahau.
www.openuniversity,ac.tzKama kichwa kilivyo jieleza kwa wajuzi naomba kujua ada y PHd level kwa open university n UDSM