MzungukoMnangani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 303
- 82
Poleni na majukumu wakuu,
Wiki ijayo natarajia kwenda Goma (Congo DRC) kwa ajili ya kwenda kujionea fursa za kibiashara ivyo basi naomba msaada wenu wa wapi ntapata bus za kufika huko na njia salama ni ipi?
Angalizo: Mimi nipo Mwanza kwa sasa.
Wiki ijayo natarajia kwenda Goma (Congo DRC) kwa ajili ya kwenda kujionea fursa za kibiashara ivyo basi naomba msaada wenu wa wapi ntapata bus za kufika huko na njia salama ni ipi?
Angalizo: Mimi nipo Mwanza kwa sasa.