Msaada wa kufaham ku unlock sim kwa kupress button

Msaada wa kufaham ku unlock sim kwa kupress button

Hamud Nassor

Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
18
Reaction score
0
Habari zenu wana jamii naomben msaada wa kufaham namna ya kutoa password kwenye sim zilizojilock kwa kubonyeza button natakiwa nifanye vip
 
maelezo hayajitoshelezi.
aina ya simu...
imejilock vipi...
toa detail wadau wajue pa kuanzia
 
izime

then washa tena. haraka sana bonyeza button mbili kwa pamoja. button ya kuwashaia iache. bila kuachia bofya volume up button, sambamba home button au kijumba, utaona picha nyumba(subiri na usiachie hizo button) kusha yatakuja maneno, tafuta maneno haya erase, delete, au clean au format scrollbar mpaka kweny mstari wenye maneno husika, bofya key button ya kuzima na kuwasha, safar hii key hii inatumika kama ok button
 
Kuna SIMU baadhi zinatofautiana ktk Ku hard rest njia itumikayo zaidi ni 1.kuizima simu kwanza 2 unabonyeza volume up bila kuiachia kisha unabonyeza batani ya kuwashia nayo usiachie mpaka itakapowaka kwa mtindo wa boot recover hapo utafuata maelezo
 
Back
Top Bottom