Msaada wa 'kubebwa' hostel Ustawi wa Jamii

Njoo nikubebe,mimi ni dume,nina nafasi nyumbani kwangu,
 
Ushauri tu. Ustawi hostel ni chache, wengi wanachofanya ni kupanga nyumba mtaaani, hivyo tafuta mwenzako muwe wa2 au hata zaidi mkapange mtaani. Madalali wapo.
 
Tena una bahati sana, mm ninavyo wapenda watoto wa A-Town, ondoa shaka, njo PM
 
Hakuna mwanamke atakayejitambulisha MIMI NI MDADA.....Matoto ya O-level yakishajua terminologies za chuo yanakuja kutusumbua humu
 
Reactions: MC7
Ushauri tu. Ustawi hostel ni chache, wengi wanachofanya ni kupanga nyumba mtaaani, hivyo tafuta mwenzako muwe wa2 au hata zaidi mkapange mtaani. Madalali wapo.
Thenkx.
Mimi sio mwenyeji wa dsm. Ila naona unanipa mwanga. Nitajua badae itakuwaje
 
Mishkaki ipo, hutakosa pakujishkiza kwa muda hadi upate akili, nenda karpoti. Ukfka nitafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…