Habari zenu wadau,
Ningependa kupata msaada wa biashara ya bucha katika maeneo ya Dar. Ningependa kufahamu costs za kufungua biashara hio zilivyo, gharama za uendeshaji pamoja na namna faida inavyoweza kupatikana.
Nyama ya ng’ombe pamoja na mbuzi ndio kipaumbele zaidi.
Ningependa kupata msaada wa biashara ya bucha katika maeneo ya Dar. Ningependa kufahamu costs za kufungua biashara hio zilivyo, gharama za uendeshaji pamoja na namna faida inavyoweza kupatikana.
Nyama ya ng’ombe pamoja na mbuzi ndio kipaumbele zaidi.