ham d ibrahim Member Joined Oct 1, 2016 Posts 29 Reaction score 4 Oct 10, 2016 #1 Jamani naombeni msaada wa kurekebisha au kutengeneza au hata ushauri wa kufanya katika simu yangu. Tatizo kubwa ni ina lock ya icloud. Nawasilisha.
Jamani naombeni msaada wa kurekebisha au kutengeneza au hata ushauri wa kufanya katika simu yangu. Tatizo kubwa ni ina lock ya icloud. Nawasilisha.
Pancras Suday JF-Expert Member Joined Jun 24, 2011 Posts 8,143 Reaction score 3,848 Oct 10, 2016 #2 Sasa kama ni simu yako hiyo icloud si uifungue au umekwama wapi!?
mbusage JF-Expert Member Joined Oct 8, 2014 Posts 447 Reaction score 123 Oct 10, 2016 #3 Hawa ndio weziii wenyeweee hawaaaa
lameckkawawa JF-Expert Member Joined Sep 13, 2015 Posts 944 Reaction score 665 Oct 11, 2016 #4 Hiyo issue uwaga ngumu sana ila kuna jamaa niliona tangazo Lao Instagram kuwa wanazitoa