Msaada gani unataka zaidi ya kuambiwa hiyo ni ndoa ya Kikristo!
Yaani hapo namaanisha hiyo device ukishanunua haingizwi line nyingine kama uonavyo ndoa ya kikristo ambavyo mwanaume anafungwa kwa mke mmoja!
Msaada pekee alopewa siku akitaka nunua GSM device ajue varities ambazo zinatoka Lock kwa urahisi na bila kuhangaika na Devices ambazo Hazitoki Lock Kilaini kama hizi!