Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,204
- 7,648
Nina iphone X katika matumizi matumizi mwezi ulopita nili ilaliaje sijui ki ukweli ila nimeamka asubuhi nashika SIMUnakuta display ni white blank,hamna maandishi kioo kinawaka kama tubelight ule mwanga wakucheza cheza.
Nikadhani tatizo litaisha baada ya muda ila halikuisha na baadae nikaamua kuibadilisha kwa kumtuma ndugu yangu anae enda DUBAI anunue kioo huko then abadilishe so nikaokoka na cost za usafiri wa mimi kwenda au ituma simu,cost yake ili cost 530,000 simu kweli ikarudi like new.
Jana katoto kangu kaliskia simu inaita kakaibeba kakawa kananletea,kakiwa koridoni simu ikamponyoka ikadondoka,kakaiacha pale pale kakaja nifata nambia simu imedondoka,naifata naikuta na majanga yale yale yalonkuta mwanzo,simu inaendelea kuita ila Screen nyeupeee yani nimechanganyikiwa hapa sitamani tena itengeneza hii simu.
Nimeingia website ya APPLE nataka kununua XR NIACHANE na hiii pasua kichwa nimeona Kitu ambacho ndio kimenifanya nifungue hii THREAD hapa,katika manunuzi pale kuna option mbili
1.Kulipia amount inayohitajika kupata simu husika
2.Kufanya Trade ya simu uliyonayo ya IPHONE then unaongezea hela kidogo wanakupa nyingine
Kuna vipengele vya kujaza pale vya aina ya simu,storage,colour,nk sasa swali langu na ombi langu ni kusaidiwa kufanya hii kitu maana ki ukweli sijawahi fanya hii kitu..nataka kutumia OPTION no.2 ya kurudisha hii X yangu then niongezee amount watayohitaji niweze pata simu ingine Mpya.
Process hii sijajua ni ya USA tu au hata huku kwetu tunaweza TRADE simu zetu...kwa yeyote anaeweza fanya hiii kitu Naomba anisaidie najua atatumia muda wake na bando lake katika kufanikisha hili na kujua details za kila kitu so NITAMLIPA (sio bure)
Yeyote anaeweza nisaidia hiki kitu nikaweza rudisha hii simu then nikaongeza hela nikapata Simu ingine NITAMLIPA AMOUNT ATAYOHITAJI YEYE NIMPE....nipo serious undefined% kwa mwenye solution ya ombi langu.
Kuna mtu kanambia KENYA wanabadili yani wana TRADE an old iphone then una top up wanakupa NEW phone kulingana na condition ya SIMU yako.
Name : iPhone X
Storage: 256GB
Colour: White
Mwl.RCT na wengine wote nisio wafahamu naombeni msaada wenu,ndugu yenu natumia simu sioni anaepiga yani kibubu bubu.
MREJESHO:
Hatimae Jana nimefanikiwa kupata kioo na msaada ni wa member wa humu humu JF,nashukuru sana mkuu na kuna member mwngine aliejaribu nisaidia mwenye namba inaishia 477 nashukuru sana kiongozi kwani niliahidi nikishindwana na huko ninapoenda ningerudi kwako,bahati mbaya sikukutafuta kwenye simu kukupa mrejesho(samahani kwahilo)
This time around JF imeokoa Amount kubwa sana...asante zaidi kwa brother Maxence Melo Mike Mushi nyie watu mmeturahisishia sana maisha..asanteni sana!
Nikadhani tatizo litaisha baada ya muda ila halikuisha na baadae nikaamua kuibadilisha kwa kumtuma ndugu yangu anae enda DUBAI anunue kioo huko then abadilishe so nikaokoka na cost za usafiri wa mimi kwenda au ituma simu,cost yake ili cost 530,000 simu kweli ikarudi like new.
Jana katoto kangu kaliskia simu inaita kakaibeba kakawa kananletea,kakiwa koridoni simu ikamponyoka ikadondoka,kakaiacha pale pale kakaja nifata nambia simu imedondoka,naifata naikuta na majanga yale yale yalonkuta mwanzo,simu inaendelea kuita ila Screen nyeupeee yani nimechanganyikiwa hapa sitamani tena itengeneza hii simu.
Nimeingia website ya APPLE nataka kununua XR NIACHANE na hiii pasua kichwa nimeona Kitu ambacho ndio kimenifanya nifungue hii THREAD hapa,katika manunuzi pale kuna option mbili
1.Kulipia amount inayohitajika kupata simu husika
2.Kufanya Trade ya simu uliyonayo ya IPHONE then unaongezea hela kidogo wanakupa nyingine
Kuna vipengele vya kujaza pale vya aina ya simu,storage,colour,nk sasa swali langu na ombi langu ni kusaidiwa kufanya hii kitu maana ki ukweli sijawahi fanya hii kitu..nataka kutumia OPTION no.2 ya kurudisha hii X yangu then niongezee amount watayohitaji niweze pata simu ingine Mpya.
Process hii sijajua ni ya USA tu au hata huku kwetu tunaweza TRADE simu zetu...kwa yeyote anaeweza fanya hiii kitu Naomba anisaidie najua atatumia muda wake na bando lake katika kufanikisha hili na kujua details za kila kitu so NITAMLIPA (sio bure)
Yeyote anaeweza nisaidia hiki kitu nikaweza rudisha hii simu then nikaongeza hela nikapata Simu ingine NITAMLIPA AMOUNT ATAYOHITAJI YEYE NIMPE....nipo serious undefined% kwa mwenye solution ya ombi langu.
Kuna mtu kanambia KENYA wanabadili yani wana TRADE an old iphone then una top up wanakupa NEW phone kulingana na condition ya SIMU yako.
Name : iPhone X
Storage: 256GB
Colour: White
Mwl.RCT na wengine wote nisio wafahamu naombeni msaada wenu,ndugu yenu natumia simu sioni anaepiga yani kibubu bubu.
MREJESHO:
Hatimae Jana nimefanikiwa kupata kioo na msaada ni wa member wa humu humu JF,nashukuru sana mkuu na kuna member mwngine aliejaribu nisaidia mwenye namba inaishia 477 nashukuru sana kiongozi kwani niliahidi nikishindwana na huko ninapoenda ningerudi kwako,bahati mbaya sikukutafuta kwenye simu kukupa mrejesho(samahani kwahilo)
This time around JF imeokoa Amount kubwa sana...asante zaidi kwa brother Maxence Melo Mike Mushi nyie watu mmeturahisishia sana maisha..asanteni sana!
