msaada wa ku.track simu kwa IMEI

msaada wa ku.track simu kwa IMEI

sulfametopyrazine

Senior Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
134
Reaction score
26
nilikuwa na kasimu kangu nmekupata juzi tu. sasa cha kushangaza kuna wale wahuni wa bodaboda wakanikwapua. simu yenywe ni iphone7 plus, nmejaribu kutumia find my iphone bila mafanikio maana sio accurate kiivo kwa TZ yetu hii na bado sijaiweka kwny lost mode. Sasa km kuna mtu mwnye utaalamu wa kutumia IMEI ili kujua vitu km location au line inayotumika najua pale oysterbay wanafanya ila mlolongo wake siuwezi ni mrefu kwakweli. If anybody can help I'll appreciate that
 
Nenda polisi kwanza ndugu.....
Ushauri wa bure.
 
nenda police , watahitaji receipt ambayo itakuwa na detail za imei ya cmu yako.Andaa kiasi flani cha fedha hiyo cmu itapatikana tu kama una nia
 
Kama ina icloud ilikuwa active basi jua ushaikosa lakini haikuwa active icloud basi utaipata maana lazima kuna mtu atakuwa anaitumia
 
Back
Top Bottom