Msaada wa ku-save selection waugwana TCU

Msaada wa ku-save selection waugwana TCU

john agrey

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2015
Posts
1,280
Reaction score
2,080
Anayejua jinsi ya kusave nikishamaliza kufanya selection za vyuo anisaidie nashindwa hapo kusubmitt ili iwe nimeshatuma maombi
 
Nilipita nikaona hakuna sehemu ya ku submitt selection zako. Ukishamaliza kujaza course zako vizuri kabisa na kwa usahihi, upande wa kushoto, chini kuna option ya kuprint selection zako for future reference! Una log off, na hapo unakuwa umemaliza!
 
Nilipita nikaona hakuna sehemu ya ku submitt selection zako. Ukishamaliza kujaza course zako vizuri kabisa na kwa usahihi, upande wa kushoto, chini kuna option ya kuprint selection zako for future reference! Una log off, na hapo unakuwa umemaliza!
 
Mbona kwenye pc mambo n yaleyale unaambiwa page not found
 
Mbona kwenye pc mambo n yaleyale unaambiwa page not found
Kwenye Second Round Nahisi Hawana Option Ya Kuprint Maana Wengi Inakataa Just Jaza machaguo yako Mpk Utakapoambiwa Congratulations Hapo Utakuwa Umemaliza Log Out Sbr Wafanye kazi Yao
 
Nilipita nikaona hakuna sehemu ya ku submitt selection zako. Ukishamaliza kujaza course zako vizuri kabisa na kwa usahihi, upande wa kushoto, chini kuna option ya kuprint selection zako for future reference! Una log off, na hapo unakuwa umemaliza!
Kulog off ndo nn mkuu!!!kwa ufupi unalog out coz watoto wa digitally anaweza kuuliza mbona sehemu ya kulog off haioni!
 
Kwenye Second Round Nahisi Hawana Option Ya Kuprint Maana Wengi Inakataa Just Jaza machaguo yako Mpk Utakapoambiwa Congratulations Hapo Utakuwa Umemaliza Log Out Sbr Wafanye kazi Yao
Mbna sijaona sehemu wanayokwambi congratulations jaman
 
1474527714779.png
io apo em chekii
 
Back
Top Bottom