Msaada wa ku install window kwenye aina hii ya computer

Msaada wa ku install window kwenye aina hii ya computer

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,578
Reaction score
1,817
habar wadau,
Naomba msaada kwa mwenye utaalamu wa ku install window kwenye OLPC laptop, default window yake ni Ubuntu ila haina cd room na Bios yake bado sija isoma

Picha yake
OLPC-XO large.jpg
 
Last edited by a moderator:
Bakulutu unadhani sisi tunajua kila kitu kaka? tunajitahidi kujibu tunavyoweza, wapo watu weengi, watakuja tu
 
Last edited by a moderator:
Nadhani unaweza ku-run Virtual machine kwa ubuntu, basi download MS onto usb drive, then install as virtual machine instance to emulate x86. pia inategemea nguvu ya machine yako.
 
olpcdualboot.jpg


mkuu nimejaribu kukiangalia online nimeona hv.
hio ni program inaitwa one laptop per child(olpc) vilitengenezwa kila mtoto awe na laptop. vina harddisk 4gb na ram256mb kaka hapa hata ukieka window ni kichekesho. kuna jamaa wamefanikiwa kuinstall windows xp lakini feedback kinakua slow. mi nina wazo jengine why usiwaambie wataalam wa linux humu wakusaidie kuiemulate android ya zamani kama froyo(narecomend) au gingerbread utapata apps nyingi na atleast zitakua fasta kuliko windows
 
wanasema linux inakubali ila unaongeza sd card
 
olpcdualboot.jpg

hio ni program inaitwa one laptop per child(olpc) vilitengenezwa kila mtoto awe na laptop. vina harddisk 4gb na ram256mb kaka hapa hata ukieka window ni kichekesho.

hapa Ndo Leo Pamenifurahisha....... Mbona Hapo Hata Uweke Win Xp Huwez Ku run Progz Muhm Zaid Ya Kucheza Solitaire Na Mohojong
 
Back
Top Bottom