Msaada wa kozi mechanical engineering

Msaada wa kozi mechanical engineering

AgentX

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
1,651
Reaction score
1,700
Habari. Wakuu
Naomba nianze kwa kusema Sijui lolote msaada wenu tafadhali. Kuhusu hiyo course na chuo husika.

Is it Worth?

1471609505610.jpg

Msaada wenu wa dondooo muhimu inahitajika
Najua kuna wanaojua mengi humu
Wakuu.



Ahsante.
 
kozi nzuri ukiimaster vizuri ukatoka umeiva iko poa jiandae kimsuli maana hapahakuna kulala
 
We umechagua course huna idea nayo hata moja? Em acha utani.
Mechanical Engineering ni bonge la course ukijipanga vizuri, kuna mambo mengi sana na unaweza kuchagua uspecialize fields nyingi tu, sina idea diploma wanafundisha nini ila ukikomaa nayo hadi degree na ukapiga kitabu kwelikweli unaweza fika mbali, ukifanya mchezo ofcoz utafulia, hizi courses wanaenda wenye passion sio wanaofikiria hela wakati wote, zinahitaji msuli mrefu sana.
 
We umechagua course huna idea nayo hata moja? Em acha utani.
Mechanical Engineering ni bonge la course ukijipanga vizuri, kuna mambo mengi sana na unaweza kuchagua uspecialize fields nyingi tu, sina idea diploma wanafundisha nini ila ukikomaa nayo hadi degree na ukapiga kitabu kwelikweli unaweza fika mbali, ukifanya mchezo ofcoz utafulia, hizi courses wanaenda wenye passion sio wanaofikiria hela wakati wote, zinahitaji msuli mrefu sana.
Ktk engineering ndo kozi niliyo kuwa na passion Nayo pekee. Sina shida na pesa nyingii za madafu zinatosha mkuu. Nina mtazamo wa kujiajiri zaidi
 
karibu dit,,,kozi hiyo soko lake ni kubwa sana ila jiandae kwa ugumu pia inabidi ukaze sana
 
Kozi nzuri sana!! Komaa sana niko nayo Arusha Tech. College!! Tunajiita AUTOMECH automotive, autoelectric, mechanical!! TUmekabidhiwa chuo maana ndo coz ngumu ever, na msuli mrefu mpaka entropy zinapanda, hatuelewi ni makauzu dagaa hafai!! Watoto wa Baba tunajiita!! Automotivists na Mechanical takers wanahitajika kuchukua Aircraft Maintainance... Na nchi yetu inaelekea industrial initialization!! Kozi moja na heshima zake, lazima uwe kauzu na thermo, machne design, mechatronic, power production!! PCM uwe vizuri!! Kama huwezi hapo utapotea.
 
Back
Top Bottom