D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,911
- 1,085
habar wana jf
Naomba kujuzwa juu ya taratibu za ulipaji kodi ya mapato.maana kuna ndugu yangu mtaji wake ni 3m anaambiwa alipie mapato 200000 kwa mwaka je halali kwa sheria ya kodi iliyo pitishwa na bunge la bajeti 2014/2015?
Naomba msaada wenu ili nijuwe kama nihalali kumfungia biashara yake
Naomba kujuzwa juu ya taratibu za ulipaji kodi ya mapato.maana kuna ndugu yangu mtaji wake ni 3m anaambiwa alipie mapato 200000 kwa mwaka je halali kwa sheria ya kodi iliyo pitishwa na bunge la bajeti 2014/2015?
Naomba msaada wenu ili nijuwe kama nihalali kumfungia biashara yake