Mkazuzu
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 449
- 554
Gari yangu Toyota mark ii gx100,engine type 1g-fe vvti.gari nikiwasha asubuhi inachelewa kuwaka na kama ikiwaka basi mpaka niiache idle kama dakika 5 ndiyo niweze kutembea vinginevyo nikikanyaga mafuta ina stall au inazima.kiufupi gari nisipowasha muda mrefu inachelewa kuwaka na inawaka les misfire.tatizo linaweza kuwa nini nisaidieni mawazo.