Msaada wa kisheria

Kyawanjubu

JF-Expert Member
May 13, 2017
2,436
2,156
Wakuu habari zenu.

Ndugu zangu me niko Arusha mitaa ya Njiro Nanenane hapa kwenye kijiwe changu ninapofanyia biasha ndo inafanyika mikutano ya kampen juzi alikuja Mrisho Gambo Kufanya kampeni.

Yalibandikwa mabango mengi kwenye flem za biashara, leo kuna dogo jirani yangu anafanya kazi ya kuchomea akabandua bango pale mlangoni kwenye ofisi yao. Kuna wamama wakamuona, wakaita wana CCM wakasema apelekwe Police me nikawa nawambia dogo akipelekwa police mnapata faida gani ?

Maana sisi ni majirani kuna maisha baada ya uchaguzi kweli wameita police wanasema me nimewatishia maisha difenda imefika imebidi nisepe yule dogo kabebwa, saiz napigiwa simu naambiwa kuna wanaccm wapo pale dukani kwangu wanataka kubeba vitu vyangu.
 
Back
Top Bottom