FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Kama picha hapo chini imavyojieleza, binafsi nakerwa sana ninapotumiwa hizi meseji za Kamari wakati binafsi sijawahi na sina muda wa kicheza kamari, imagine watu wa Forex nao wakaanza kutuma mameseji kwa fujo kama hivi, patakalika kweli?
Je, kuna sheria inayonilinda endapo sitaki kutumiwa hizi meseji? Zinanikera mno!
Eti bila aibu leo wananiambia kwamba hawana roho mbaya ya kuacha kunikumbusha, mbona hamtupi option kwa sisi tusiotaka kukumbushwa?
Je, kuna sheria inayonilinda endapo sitaki kutumiwa hizi meseji? Zinanikera mno!
Eti bila aibu leo wananiambia kwamba hawana roho mbaya ya kuacha kunikumbusha, mbona hamtupi option kwa sisi tusiotaka kukumbushwa?