Msaada wa kisheria kuhusu kufuta kesi mahakamani

fite fite

Senior Member
Feb 27, 2017
113
94
Hellow wanajukwaa, naombeni ufafanuzi kwa wanaojua sheria ipoje juu ya hili; unapokuwa umefungua kesi mahakamani juu ya masuala ya ardhi, inatokea mtu uliyemshitaki ameomba kufuta kesi, je ni vitu gani anatakiwa awajibike kwa mujibu wa sheria...? na hela ya kuwalipa mawakili nani atahusika hapo..? Tusaidiane kwa hilo wapendwa, asante!
 
Hellow wanajukwaa, naombeni ufafanuzi kwa wanaojua sheria ipoje juu ya hili; unapokuwa umefungua kesi mahakamani juu ya masuala ya ardhi, inatokea mtu uliyemshitaki ameomba kufuta kesi, je ni vitu gani anatakiwa awajibike kwa mujibu wa sheria...? na hela ya kuwalipa mawakili nani atahusika hapo..? Tusaidiane kwa hilo wapendwa, asante!
Je unamanisha WITHDRAW ama CONSENT JUDGMENT??

YAan uliyemshtaki tena ndo atake mfute kesi??? Ama msuluhishe mgogoro nje ya mahakama? Hata kwa akili ya kawaida WW NDO UMESHITAKI MTU, ALAFU ANAKWAMBIA FUTA KESI je inakwingia akilini????

Wanasheria huwa tunaepuka sna AMBIGUITY or UNCERTAINITY of words!. Je mnasuluhisha nje ya mahakama (consent judgment chini ya Order 23 ya CPC ama mnatoa PLAINT/hati ya madai mahakaman (withdraw) eleza nikupe msaada!.
 
Je unamanisha WITHDRAW ama CONSENT JUDGMENT??

YAan uliyemshtaki tena ndo atake mfute kesi??? Ama msuluhishe mgogoro nje ya mahakama? Hata kwa akili ya kawaida WW NDO UMESHITAKI MTU, ALAFU ANAKWAMBIA FUTA KESI je inakwingia akilini????

Wanasheria huwa tunaepuka sna AMBIGUITY or UNCERTAINITY of words!. Je mnasuluhisha nje ya mahakama (consent judgment chini ya Order 23 ya CPC ama mnatoa PLAINT/hati ya madai mahakaman (withdraw) eleza nikupe msaada!.
Samahani mkuu japo nitakuwa nje ya mada. Mimi naomba kuuliza. Ikiwa una kesi mahakama kuu, na wewe ndiyo mlalamikaji, unaona uwezekano wa kutokuwepo siku ya kesi unaweza kutoa taarifa vipi na upo mbali na mahakama husika? Je, inakubalika kisheria. Kesi mara ya mwisho kutajwa ilikuwa bado ipo kwa msajili.
 
Mkuu kitaratibu za kiuendeshwaji kesi mtu anaepaswa kuondoa kesi mahkamani kati ya mshtakiwa na mlalamikaji always ni mlalamikaji na PP ataiomba mahakama kuondoa shtaka hilo either kwa kifungu cha 224 cha CPA au 98.
 
Samahani mkuu japo nitakuwa nje ya mada. Mimi naomba kuuliza. Ikiwa una kesi mahakama kuu, na wewe ndiyo mlalamikaji, unaona uwezekano wa kutokuwepo siku ya kesi unaweza kutoa taarifa vipi na upo mbali na mahakama husika? Je, inakubalika kisheria. Kesi mara ya mwisho kutajwa ilikuwa bado ipo kwa msajili.
Bila samahani mkuu!.

Ndiyo inakubalika kisheria kutoa udhuru wa kutofika mahakamani. Ila uwe na sababu za msingi sna kushawishi mahakama kukubali. Eg. Ugonjwa, ama una kesi nyingine mahakama ya rufani (sio mahakama za chini kwa kesi yk n.k) (ila jaji halazimishwi kukubali ombi lako anaweza kukubali ama kukataa kisheria tunaitwa DISCRETION POWER!

Wakili wako anatosha sna! Km huna wakili hata ndguyo kwa kupeleka barua ya udhuru (leave of absence) ikiwa umeambatanisha na vielelezo vya kwa nini hutohudhurua. (Ushahidi wa kuishawishi mahakama)
NB; na upande wa pili utaulizwa km una pingamizi ama laa bt kwa uzoefu watakubali ILA wataomba gharama za kuja mahakamani ck hyo uwalipe ww km kesi ilikuwa inakuja kwa ajili ya kusikilizwa!.

Cha msingi sna ni je kesi inakuja kwa ajili gan ck hyo?? Km ni kupata melekezo ya mahakama (MAARUFU KM KUTAJWA/mention) ni LAHISI ila km ni kwa ajili ya kusikilizwa DUU!!! Km huna wakili/Agent jitahidi uende mkuu coz madhara yke ni makubwa sna kisheria.
 
Mkuu kitaratibu za kiuendeshwaji kesi mtu anaepaswa kuondoa kesi mahkamani kati ya mshtakiwa na mlalamikaji always ni mlalamikaji na PP ataiomba mahakama kuondoa shtaka hilo either kwa kifungu cha 224 cha CPA au 98.
Mkuu, hakuna utofauti kt ya mlalamikaji na PP. Kweny jinai pp (serikali) ndo mlalamikaji halafu victim ni mashaidi tu (maarufu km PW1). Kwa jinai be care na df kati ya
WITHDRAW
DISCHARGE

Asante!! Kwa comments
 
Bila samahani mkuu!.

Ndiyo inakubalika kisheria kutoa udhuru wa kutofika mahakamani. Ila uwe na sababu za msingi sna kushawishi mahakama kukubali. Eg. Ugonjwa, ama una kesi nyingine mahakama ya rufani (sio mahakama za chini kwa kesi yk n.k) (ila jaji halazimishwi kukubali ombi lako anaweza kukubali ama kukataa kisheria tunaitwa DISCRETION POWER!

Wakili wako anatosha sna! Km huna wakili hata ndguyo kwa kupeleka barua ya udhuru (leave of absence) ikiwa umeambatanisha na vielelezo vya kwa nini hutohudhurua. (Ushahidi wa kuishawishi mahakama)
NB; na upande wa pili utaulizwa km una pingamizi ama laa bt kwa uzoefu watakubali ILA wataomba gharama za kuja mahakamani ck hyo uwalipe ww km kesi ilikuwa inakuja kwa ajili ya kusikilizwa!.

Cha msingi sna ni je kesi inakuja kwa ajili gan ck hyo?? Km ni kupata melekezo ya mahakama (MAARUFU KM KUTAJWA/mention) ni LAHISI ila km ni kwa ajili ya kusikilizwa DUU!!! Km huna wakili/Agent jitahidi uende mkuu coz madhara yke ni makubwa sna kisheria.
Je, nitajua je kama kesi inakuja kwa ajili gani? Kwa mara ya mwisho ilikuwa bado kwa msajili.
 
Ok!. Kwan hyo mara ya mwisho mliambiwaje na msajili (yaan hyo tarehe ambayo msajili aliwaambia muende tena hakuwaambia ni kwa gani??? Alipaswa kuwaambia!.

Kama ipo kwa msajili haijapangiwa jaji cjajua ni kesi gan hasa! Maana kuna kesi ndogo (interlocutory) ambazo wasajili wamepewa mamlaka ya kuzmaliza. Kwa ushauri ni bora uende
 
Ok!. Kwan hyo mara ya mwisho mliambiwaje na msajili (yaan hyo tarehe ambayo msajili aliwaambia muende tena hakuwaambia ni kwa gani??? Alipaswa kuwaambia!.

Kama ipo kwa msajili haijapangiwa jaji cjajua ni kesi gan hasa! Maana kuna kesi ndogo (interlocutory) ambazo wasajili wamepewa mamlaka ya kuzmaliza. Kwa ushauri ni bora uende
Ilishapangiwa Jaji ila haijawahi kusikilizwa. Ni conflict ya loan kati yangu financial institution moja hivi. Tatitizo nipo chuoni sasa hivi napiga kitabu halafu financially sipo vizuri kwa ajili ya safari.
 
Je unamanisha WITHDRAW ama CONSENT JUDGMENT??

YAan uliyemshtaki tena ndo atake mfute kesi??? Ama msuluhishe mgogoro nje ya mahakama? Hata kwa akili ya kawaida WW NDO UMESHITAKI MTU, ALAFU ANAKWAMBIA FUTA KESI je inakwingia akilini????

Wanasheria huwa tunaepuka sna AMBIGUITY or UNCERTAINITY of words!. Je mnasuluhisha nje ya mahakama (consent judgment chini ya Order 23 ya CPC ama mnatoa PLAINT/hati ya madai mahakaman (withdraw) eleza nikupe msaada!.
Nahitaji msaada wa kisheria kuhusu uhamisho wa mke wangu.
 
Halaf kitu cha kukumbushana ni kwmb. Kila mtu unatakiwa angalau kujua sheria za eneo ulilopo (kazi unayofanya) hata sio Mwanasheria. Lawyer hufundisha PRINCIPLES OF LAWS. Namanisha mwanasheria hafundishwi mfano kifungu cha 38 cha sheria ya kazi ELRA (No. 6/2004) kinasemaje??? au kufungu fulan cha sheria fulan kinasemaje??? HAPANA HAPANA jamani.

Kwa nini nasema hvo, namanisha km wewe ni mtumishi wa umma ni bora ukajua haki zako ni zipi na zinapatikana wapi (i.e sheria gan zinazohusu maisha ya ajira yko) mfano

ELRA No. 6/2004 na kanuni zake za 2007
Sheria ya utumishi No. 8/2002 na kanuni zake za 2003
Workers compesation Act 2008 etc...

Lakn richa ya haya KWA MTUMISHI WA UMMA NI LAZIMA, LAZIMA, LAZIMA ujue kanuni zinazotungwa na katibu mkuu utumishi ambazo zina kila kitu kinachowahusu watumishi wa umma, za sasa huitwa PUBLIC STANDING ORDERS 2009 zina masuala yote kuhusu

Uhamisho
Likizo
Kujiendeleza kielimu
Kuugua kazini (afya)
Na mengine kedekede kuanzia A-L

Baada ya maneno hayo naomba nirude kwenye suala lako. Hebu nenda ukafuatilie NINI tatzo/udhaifu uliotokea hadi wakafanya makosa hayo (mistake of facts). Km tatzo ni pesa za uhamisho basi uombe uhamisho wa BILA MALIPO!.
 
Je unamanisha WITHDRAW ama CONSENT JUDGMENT??

YAan uliyemshtaki tena ndo atake mfute kesi??? Ama msuluhishe mgogoro nje ya mahakama? Hata kwa akili ya kawaida WW NDO UMESHITAKI MTU, ALAFU ANAKWAMBIA FUTA KESI je inakwingia akilini????

Wanasheria huwa tunaepuka sna AMBIGUITY or UNCERTAINITY of words!. Je mnasuluhisha nje ya mahakama (consent judgment chini ya Order 23 ya CPC ama mnatoa PLAINT/hati ya madai mahakaman (withdraw) eleza nikupe msaada!.
Ok mkuu ipo ivi, kuna jamaa alinunua eneo kwangu, akajenga na kumweka mke wake wapili aishi pale, baadae yule jamaa akaniomba eneo kidogo awe analima mboga mboga maana eneo lake lilikuwa ni dogo, sikuwa na hiana nikampatia alime kwa muda kisha nikilihitaji ntachukuwa tukakubaliana hivyo, kosa nililolifanya hatukukubaliana kwa mandishi. Basi siku zikaenda yule jamaa akafariki pale kwake akabaki bi mdogo,,,ndiye aliyeanza kuleta matatizo mara baada ya kuanza kujenga eneo ambalo mumewe aliniomba alime mbogamboga kwa muda, huyo mkewe anadi mukewe anadai mumewe alimwachia ni eneo lao, ikabidi niende serikalini ikiwa ni pamoja na mtendaji aliyehusika wakati wa kuuziana eneo, wakaja tukapima eneo kila kitu kikawa sawa. Baadae yule mke wa marehemu akatumia nguvu ya pesa na kwenda kufungua madai akilalamika ameonewa anapokonywa eneo, kama tujuavyo udhdaifu wa vyombo vyetu vilivyopewa dhamana ya kusimamia sehemu husika hudiliki kupindisha sheria kwa sababu ya pesa, basi kesi ikaenda mbele mpaka mahakamani..kwa kuwa kesi ipo mkoani nami nipo kuhangaika maisha yaendelee nikamtafuta wakili anisimamie hiyo kesi, pasipokuwa maskini kumbe ndo walewale wapigaji. Basi siku zikaenda hatimaye ndugu wa marehemu wakapata hizo taarifa na kumshauri yule mama achane na kesi aniombe msamaha na kuenda kufuta kesi mahakamani, alikubali kufanya hivyo lakini mpaka saizi kesi haijafutwa najaribu kuongea na wakili anasema natakiwa nimlipe kwanza yeye ndipo mambo yataenda mwisho, nimetupa gharama nyingi sana mbele ya haki yangu. Ndio sababu ya kuomba msaada wa kisheria humu jf, i hope ntasaidiwa asanteni.
 
Ok mkuu ipo ivi, kuna jamaa alinunua eneo kwangu, akajenga na kumweka mke wake wapili aishi pale, baadae yule jamaa akaniomba eneo kidogo awe analima mboga mboga maana eneo lake lilikuwa ni dogo, sikuwa na hiana nikampatia alime kwa muda kisha nikilihitaji ntachukuwa tukakubaliana hivyo, kosa nililolifanya hatukukubaliana kwa mandishi. Basi siku zikaenda yule jamaa akafariki pale kwake akabaki bi mdogo,,,ndiye aliyeanza kuleta matatizo mara baada ya kuanza kujenga eneo ambalo mumewe aliniomba alime mbogamboga kwa muda, huyo mkewe anadi mukewe anadai mumewe alimwachia ni eneo lao, ikabidi niende serikalini ikiwa ni pamoja na mtendaji aliyehusika wakati wa kuuziana eneo, wakaja tukapima eneo kila kitu kikawa sawa. Baadae yule mke wa marehemu akatumia nguvu ya pesa na kwenda kufungua madai akilalamika ameonewa anapokonywa eneo, kama tujuavyo udhdaifu wa vyombo vyetu vilivyopewa dhamana ya kusimamia sehemu husika hudiliki kupindisha sheria kwa sababu ya pesa, basi kesi ikaenda mbele mpaka mahakamani..kwa kuwa kesi ipo mkoani nami nipo kuhangaika maisha yaendelee nikamtafuta wakili anisimamie hiyo kesi, pasipokuwa maskini kumbe ndo walewale wapigaji. Basi siku zikaenda hatimaye ndugu wa marehemu wakapata hizo taarifa na kumshauri yule mama achane na kesi aniombe msamaha na kuenda kufuta kesi mahakamani, alikubali kufanya hivyo lakini mpaka saizi kesi haijafutwa najaribu kuongea na wakili anasema natakiwa nimlipe kwanza yeye ndipo mambo yataenda mwisho, nimetupa gharama nyingi sana mbele ya haki yangu. Ndio sababu ya kuomba msaada wa kisheria humu jf, i hope ntasaidiwa asanteni.
Pole sna!..bt inaonekana una tatzo na wakili wako.

KM HOJA YAKO NI JINSI YA KUONDOA KESI BASI FANYA HIVI

Km huyo mama kweli ameridhia kufuta kesi basi nini kifanyike??? ANDIKENI MAKUBALIANO YA PAMOJA NJE YA MAHAKAMA YANAYOTAMKA KWAMBA KWA HIARI YENU BILA SHINIKIZO LOLOTE MMEAMUA ;-

(jaza makubali yenu)

Halaf yawe katika nakala tatu (3) ambazo mtazipeleka mahakamani mahali kesi ilipo. Zitasainiwa na mahakama na ndo kesi itakuwa imeishia hapo. Mahakamani itabaki nakala 1 na ninyi kila mmoja ataondoka na nakala!.
 
Nashukuru sagaci kwa msaada na wale wote waliochangia shukrani sana
 
Back
Top Bottom