NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
ki dini ya kiislam ndoa ni ile waliozeshwa na shekh mwanamme masjid baaass,,,, nijuavyo mimi katika dini niliokuwa,,,yaani we hata uweke nukta tu mi hoi! :focus:mwanamume na mwanamke wakiishi pamoja ndani ya miezi sita si ndoa tayari hiyo?