Msaada wa kimawazo

yaani we hata uweke nukta tu mi hoi! :focus:mwanamume na mwanamke wakiishi pamoja ndani ya miezi sita si ndoa tayari hiyo?
ki dini ya kiislam ndoa ni ile waliozeshwa na shekh mwanamme masjid baaass,,,, nijuavyo mimi katika dini niliokuwa,,,
 
mh 45 sasa ndugu mahusiano yasiwepo atampat huyo mwengine???? allahu yaalamm,,,,maybe she can bcouse vijana wa sasa wanatafuta majimama wenyewe,,, all dah best inshaallah!!
jimama lenyewe liwe na mipesa na liwe tayari kuwa heartbreaked anytime
 
Asanteni sn mnazdi kunijengea capacity ya kumu advice huyo dada. Upande wa pili si rahc kupata maelezo manake cna hakika km huyo bwan shem ni member wa great thinkers. Na kama yupo hope atajimwaya mwaya hapa
 
asanteni sn mnazdi kunijengea capacity ya kumu advice huyo dada. Upande wa pili si rahc kupata maelezo manake cna hakika km huyo bwan shem ni member wa great thinkers. Na kama yupo hope atajimwaya mwaya hapa

itakuwa ni vizuri zaidi tukisikia pande mbili hapo ndio tutaweza kuelewa vizuri na kushauri
 
Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?

............kugombana ni sehemu ya mapenzi,tena hasa wakati huu wa kufunga mwaka,amsamehe warudiane na kujenga familia...........
 
Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?
there you go...time heals everything
 
Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?

Nini chanzo cha ugomvi wao manake kuna issue nyingine ni nzito , kusamehe unakuwa unajidanganya.Pili huyu jamaa hana mwanamke mwingine kweli manake huo umri wake kidogo uko mbali, watoto hao wengine alipata vipi isije kuwa ndo tabia yake kuwatotolesha halafu anakuwa anadonoa wote bila kujuana. Naomba maelezo yako Lady G ili niwe na nafasi ya kushauri zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom