Sasa mkuu kwanini usiuze eka kadhaa ukawa na mtaji wako? yaani utumie pesa za kuuza eka kadhaa za shamba kuchimba kisima na kufunga mitambo ya umwagiliaji? unaweza anza na eka kadhaa then uka expand! ni mawazo tu maana haya mabenk ni pasua kichwa na hivi uchumi ulivyo bana ndio balaa zaidi!Habari wadau,
Nashukuru Mungu aliniwezesha kupa shamba la ekari 20 maeneo ya mtibwa morogoro. Kwa muda wa miaka 5 nimekuwa nikilima Kilimo cha kutegemea mvua niliwahi kupata mwaka juzi tu mazao kidogo ya kuridhisha. Mwaka Jana nililima sikupata pia mwaka huu hadi naandika hii habari mvua zimegoma mimiea imenyauka kiufupi mtaji wangu umekufa kabisa Mazao ambayo huwa nalima ni ufuta, mahindi na alizeti.
Msaada ninao hitaji kwa sasa kama kuna taasisi yeyote au kampuni ambayo inaweza kunikopesha au kuingia ubia ili niweze kchimba kisima pamoja na vifaa vya umwagiliaji niondokane na kilimo cha mvua ani pm natanguliza shukrani .
NB shamba langu Lina hati ya kijiji kwa hiyo ni halali.
Mkuu ekari moja kwasasa ni laki 3 na kuendelea pia inategemea hill shamba kama ni pori au limefyekwa tayari. Kama ni pori bei inapungua kidogoKiingilio kijijini no sh elfu hamsini.Mkuu pole sana, naomba nitumie uzi huuu na niombe taratibu za kupata mashamba huko mtibwa la kununua hama kukodi i mean bei, taribu, na sheria zake. Pili jinsi ya kufika hukomiundo mbinu na nk, Natanguliza shukrani zangu kwakoo
Nashukuru mkuu ni wazo zuri ntalifanyia kazi.Sasa mkuu kwanini usiuze eka kadhaa ukawa na mtaji wako? yaani utumie pesa za kuuza eka kadhaa za shamba kuchimba kisima na kufunga mitambo ya umwagiliaji? unaweza anza na eka kadhaa then uka expand! ni mawazo tu maana haya mabenk ni pasua kichwa na hivi uchumi ulivyo bana ndio balaa zaidi!
mkuu tukionana itakuwa vizuri sana nakuja pm.Mkuu manking shamba lako lipo mtibwa sehemu gani?
Binafsi ninayo mashamba huko tena mengine yapo kwenye vyanzo vya maji ya kudumu!
Kiukweli hali ya hewa mwaka huu ni janga, nakupa pole sana ndugu yangu.
Kwakuwa sisi sote ni wanaumme wataftaji, nafikiri ipo haja ya kukaa chini kutafakari upya ni namna gani tutavuka na kujikwamua dhidi ya hii changamoto. Na hapa issue ya maji tayari tushai cancel! Fanya tuonane mkuu kutanapo wawili watatu lazima kitengenezwe kitu chenye dira na maana!
Nashukuru sana mkuu nitawatafuta hawa jamaa pengine wanaweza kunisaidiaMkuu manking pole kwa changamoto ila ndio uanaume huo, kuna hii taasisi inaitwa Efta huwa wanatoa mikopo ya vifaa vya kilimo na hata ujasiriamali mwingine. Jaribu kuwatafuta katika mkoa wako wanaweza kukusaidia, ninazo namba za ofisi yao iliyopo arusha waweza wauliza 0783/0766 932697 au tawi lao la mkoani mbeya 0688105098
Umewatafuta mkuu, tupe feedback wengi tunashida mkuu.Nashukuru sana mkuu nitawatafuta hawa jamaa pengine wanaweza kunisaidia
Hii bei uliyotaja hapa ni ya kukodisha au kununua kabisa?Mkuu ekari moja kwasasa ni laki 3 na kuendelea pia inategemea hill shamba kama ni pori au limefyekwa tayari. Kama ni pori bei inapungua kidogoKiingilio kijijini no sh elfu hamsini.
Kaka ni pm namba yakoHabari wadau,
Nashukuru Mungu aliniwezesha kupa shamba la ekari 20 maeneo ya mtibwa morogoro. Kwa muda wa miaka 5 nimekuwa nikilima Kilimo cha kutegemea mvua niliwahi kupata mwaka juzi tu mazao kidogo ya kuridhisha. Mwaka Jana nililima sikupata pia mwaka huu hadi naandika hii habari mvua zimegoma mimiea imenyauka kiufupi mtaji wangu umekufa kabisa Mazao ambayo huwa nalima ni ufuta, mahindi na alizeti.
Msaada ninao hitaji kwa sasa kama kuna taasisi yeyote au kampuni ambayo inaweza kunikopesha au kuingia ubia ili niweze kchimba kisima pamoja na vifaa vya umwagiliaji niondokane na kilimo cha mvua ani pm natanguliza shukrani .
NB shamba langu Lina hati ya kijiji kwa hiyo ni halali.
Bei zako za kuchimba zipoje mfano kwa mita 10,40,80,150.Kwa uchimbaji wa visima nipigiye simu 0655541948 kwa bei rahisi
Mkuu usijari ngoja nijipange mkuuBei zako za kuchimba zipoje mfano kwa mita 10,40,80,150.
Syrvey ya maji unafanya mwenyewe pia na kujenga tank.
Kama unafanya hayo mambo jitangaze mkuu watu wanashida ya maji ya umwagiliaji na kwa ajili ya mifugo so ukijitangaza utapata watu ila bei iwe reasonable.