Msaada wa kibinadamu mjini Geita

Msaada wa kibinadamu mjini Geita

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,050
Reaction score
12,966
Wakuu nina safari ya kwenda Geita hii weekend, naomba msaada wa kibinadamu nikiwa huko kwa wiki 2.

Wale wenyeji wa Geita, naomba kuelekezwa maeneo naweza kupata huduma takatifu au maeneo ambayo watoa huduma wanapatikana kwa wingi maana sina hakika kama tinder au tagged zinafanya kazi huko. Binafsi sio mpenzi sana wa hayo mambo ila siwezi kukaa wiki nzima bila kupata baraka, naugua kabisa karibu na kulazwa. Nitashukuru sana kwa muongozo wenu wakuu.

Natanguliza shukrani.
 
Haya mambo ya Kusini kulee humu hawatakusaidia.

If you know you know.
 
Kama ni Geita mjini my friend ndo kwenyewe utakuja kuleta mrejesho
 
Kama ni Geita mjini my friend ndo kwenyewe utakuja kuleta mrejesho

Hapo ni sawa na Gulioni kwani ni mkusanyiko toka Mwanza, Bukoba, Kahama, Nzega, Ngara, Kigoma,na mwisho funga kazi ni kutoka Rwanda na Congo wengi wakilenga wana wa GGM, kumbuka zamani tuliIshia na mafua tu lakini siku hizi kuna kideri kuwa mwangalifu.
 
Wakuu nina safari ya kwenda Geita hii weekend, naomba msaada wa kibinadamu nikiwa huko kwa wiki 2.

Wale wenyeji wa Geita, naomba kuelekezwa maeneo naweza kupata huduma takatifu au maeneo ambayo watoa huduma wanapatikana kwa wingi maana sina hakika kama tinder au tagged zinafanya kazi huko. Binafsi sio mpenzi sana wa hayo mambo ila siwezi kukaa wiki nzima bila kupata baraka, naugua kabisa karibu na kulazwa. Nitashukuru sana kwa muongozo wenu wakuu.

Natanguliza shukrani.

Hii ni kufuru jaman, mnapoamua kufanya dhambi kwa ajili ya udhaifu wenu, fanyeni lakini msikufuru, huduma Takatifu?
 
Hii ni kufuru jaman, mnapoamua kufanya dhambi kwa ajili ya udhaifu wenu, fanyeni lakini msikufuru, huduma Takatifu?
Kufuru ndio kitu gani? Dhambi ndio nini?

Kama uko sensitive na mambo yako kaa mbali na mada za watu.
 
Hapo ni sawa na Gulioni kwani ni mkusanyiko toka Mwanza, Bukoba, Kahama, Nzega, Ngara, Kigoma,na mwisho funga kazi ni kutoka Rwanda na Congo wengi wakilenga wana wa GGM, kumbuka zamani tuliIshia na mafua tu lakini siku hizi kuna kideri kuwa mwangalifu.
Ni story tu Geita iko vizuri maradhi kila mahala yapo, uzuri wa Geita mademu wazuri wanafahamika mji mzima.
Nina danga langu moja la dhahabu mitaa ya Shilabela linaitwa Shanayza
 
Back
Top Bottom