Chimbekeha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2018
- 1,193
- 2,163
Habarini wapendwa wa JF,pole na majukumu ya kila siku,
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka takribani 24,
nimekuja kwenu kwa kuamini nyie ni wajuzi wa mambo yahusuyo afya,
Tatizo langu ni kwamba Tangia mwaka 2016 ninasumbuliwa na tatizo la fangasi sugu katika sehemu ya siri, fangasi hiyo hujenga tabaka la MAGAMBA sehemu ya juu ya korodani zote mbili, hali ambayo mda mwingine hupelekea michubuko midogomidogo inayoweza hata kubadilisha mwendo wangu ninapotembea, hadi kufikia leo nimetumia sabuni na dawa tofauti za kuzuia au kutibu hali hii ila badala yake inapungua tu na sio kupona kabisa, dawa za kuna kupaka zote zimetumika ila husaidia pale unapopaka tu na hatimaye ukakasi hurudi katika hali ya mwanzo.
Ni matumaini yangu kuwa nimejieleza kiasi cha mtu kupata taswira ya hali halisi.
KUMBUKA; sijawahi ugua ugonjwa huu kabla na chanzo chake ni maji ya chemchem ilio kubwa ambayo tulikuwa tunaitumia kupikia na kuoga kutokana na uhaba wa maji chuoni wakati nachukua fani fulani..
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka takribani 24,
nimekuja kwenu kwa kuamini nyie ni wajuzi wa mambo yahusuyo afya,
Tatizo langu ni kwamba Tangia mwaka 2016 ninasumbuliwa na tatizo la fangasi sugu katika sehemu ya siri, fangasi hiyo hujenga tabaka la MAGAMBA sehemu ya juu ya korodani zote mbili, hali ambayo mda mwingine hupelekea michubuko midogomidogo inayoweza hata kubadilisha mwendo wangu ninapotembea, hadi kufikia leo nimetumia sabuni na dawa tofauti za kuzuia au kutibu hali hii ila badala yake inapungua tu na sio kupona kabisa, dawa za kuna kupaka zote zimetumika ila husaidia pale unapopaka tu na hatimaye ukakasi hurudi katika hali ya mwanzo.
Ni matumaini yangu kuwa nimejieleza kiasi cha mtu kupata taswira ya hali halisi.
KUMBUKA; sijawahi ugua ugonjwa huu kabla na chanzo chake ni maji ya chemchem ilio kubwa ambayo tulikuwa tunaitumia kupikia na kuoga kutokana na uhaba wa maji chuoni wakati nachukua fani fulani..
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app