Msaada wa kazi

Msaada wa kazi

Joined
Sep 18, 2016
Posts
17
Reaction score
9
wakuu habarini, nisaidien kaz jaman,Nina operate machine excavator pia Nina diploma ya engineering please nisaidien kaz yeyote ile pia Nina blasting certificate na driver licence, Nina mwaka mzima nyumban yeyote mwenye kuguswa Nisaidieni jaman.
 
DIPLOMA YA ENGINEERING NDOO KOZI GANI HIYO HEBU ACHA BAGI KWANZA HII KOZI IPO CHUO GANI
 
Mwaka mzima hujawahi kufanya maombi ya kaz makampuni na viwandani uko au interview umedunda sana
 
Back
Top Bottom