Msaada wa kazi ya kukatisha tiketi

Msaada wa kazi ya kukatisha tiketi

euca

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
3,921
Reaction score
4,342
Habari za jioni wadau,nataka kuomba ile kazi ya kukatisha tiketi mlangoni katika viwanja vya sabasaba.Hivyo naomba kufahamishwa ni kampuni gani ambayo imepata tenda hyo ili niweze kupeleka maombi huko asanteni.
 
Duuhh unajua kazi zingine zinahitaji connection ndogo ndogo mkuu ...
 
Cheki hii hapa
 

Attachments

  • IMG-20170602-WA0016.jpg
    IMG-20170602-WA0016.jpg
    58.7 KB · Views: 123
Habari za jioni wadau,nataka kuomba ile kazi ya kukatisha tiketi mlangoni katika viwanja vya sabasaba.Hivyo naomba kufahamishwa ni kampuni gani ambayo imepata tenda hyo ili niweze kupeleka maombi huko asanteni.
Habari za jioni wadau,nataka kuomba ile kazi ya kukatisha tiketi mlangoni katika viwanja vya sabasaba.Hivyo naomba kufahamishwa ni kampuni gani ambayo imepata tenda hyo ili niweze kupeleka maombi huko asanteni.
dah!me mwnyw nimefwatilia iyo kazi mpaka nmechoka izo kazi wanapeana wao kwa wao ASA kwa sisi mabinti tunapat changamoto nyingi mpk utoe rushwa ya ngono ndo utapata kazi nje na hapo utaambulia kuzungushwa
 
dah!me mwnyw nimefwatilia iyo kazi mpaka nmechoka izo kazi wanapeana wao kwa wao ASA kwa sisi mabinti tunapat changamoto nyingi mpk utoe rushwa ya ngono ndo utapata kazi nje na hapo utaambulia kuzungushwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom