limbeli Member Apr 18, 2018 74 96 Jun 10, 2021 #1 Mwanangu amechaguliwa shule ya sekondary Chamwino Dodoma kidato cha tano naomba kupata msaada wa join instruction ya shule hiyo.
Mwanangu amechaguliwa shule ya sekondary Chamwino Dodoma kidato cha tano naomba kupata msaada wa join instruction ya shule hiyo.
Zaburi 23 JF-Expert Member Feb 22, 2017 570 650 Jun 10, 2021 #2 limbeli said: Mwanangu amechaguliwa shule ya sekondary Chamwino Dodoma kidato cha tano naomba kupata msaada wa join instruction ya shule hiyo Click to expand... ingia tamisemi utakutana na Pdf yenye join instructions
limbeli said: Mwanangu amechaguliwa shule ya sekondary Chamwino Dodoma kidato cha tano naomba kupata msaada wa join instruction ya shule hiyo Click to expand... ingia tamisemi utakutana na Pdf yenye join instructions
limbeli Member Apr 18, 2018 74 96 Jun 10, 2021 Thread starter #3 Zaburi 23 said: ingia tamisemi utakutana na Pdf yenye join instructions Click to expand... Haifunguki kaka nimejarib zaidi ya mara 10 labda kama una link nisaidie
Zaburi 23 said: ingia tamisemi utakutana na Pdf yenye join instructions Click to expand... Haifunguki kaka nimejarib zaidi ya mara 10 labda kama una link nisaidie
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,945 122,209 Jun 10, 2021 #4 limbeli said: Haifunguki kaka nimejarib zaidi ya mara 10 labda kama una link nisaidie Click to expand... Tumia browser nzuri, anza na Chrome
limbeli said: Haifunguki kaka nimejarib zaidi ya mara 10 labda kama una link nisaidie Click to expand... Tumia browser nzuri, anza na Chrome
limbeli Member Apr 18, 2018 74 96 Jun 10, 2021 Thread starter #5 Mwifwa said: Tumia browser nzuri, anza na Chrome Click to expand... Nimefanikiwa asee
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,945 122,209 Jun 10, 2021 #6 limbeli said: Nimefanikiwa asee Click to expand... Kila la kheri mkuu. Hiyo shule imeanza juzi kati ee?
limbeli said: Nimefanikiwa asee Click to expand... Kila la kheri mkuu. Hiyo shule imeanza juzi kati ee?
awamuyetu JF-Expert Member Apr 9, 2017 307 137 Jun 11, 2021 #8 Jamani waungwana bado nina changamoto ya hii joining instruction, nahitaji ya ASHIRA SEKONDARI anayeweza kuipata anisaidie
Jamani waungwana bado nina changamoto ya hii joining instruction, nahitaji ya ASHIRA SEKONDARI anayeweza kuipata anisaidie
Path Creator JF-Expert Member Feb 7, 2013 223 133 Jun 11, 2021 #9 awamuyetu said: Jamani waungwana bado nina changamoto ya hii joining instruction, nahitaji ya ASHIRA SEKONDARI anayeweza kuipata anisaidie Click to expand... Ingia google search jina la shule itatokea contact ya shule call hio contact elezea shida ako utapata msaada ASAP (I tried kwa mtu aliekua na tatizo kama lako issue ilikua solved within 5mins)
awamuyetu said: Jamani waungwana bado nina changamoto ya hii joining instruction, nahitaji ya ASHIRA SEKONDARI anayeweza kuipata anisaidie Click to expand... Ingia google search jina la shule itatokea contact ya shule call hio contact elezea shida ako utapata msaada ASAP (I tried kwa mtu aliekua na tatizo kama lako issue ilikua solved within 5mins)