Kaparatus Member Oct 14, 2011 32 6 Sep 8, 2012 #1 wadau mie natumia nokia C6-01, tatizo inakuwa online wakati wote, anaejua setting anisaidie.
Makbel JF-Expert Member Aug 14, 2011 774 165 Sep 8, 2012 #2 Kaparatus said: wadau mie natumia nokia C6-01, tatizo inakuwa online wakati wote, anaejua setting anisaidie. Click to expand... Hakuna sehemu iliyoandikwa EXIT kwenye simu yako?
Kaparatus said: wadau mie natumia nokia C6-01, tatizo inakuwa online wakati wote, anaejua setting anisaidie. Click to expand... Hakuna sehemu iliyoandikwa EXIT kwenye simu yako?
M Mzee wa fund JF-Expert Member Oct 24, 2010 514 89 Sep 8, 2012 #3 Makbel said: Hakuna sehemu iliyoandikwa EXIT kwenye simu yako? Click to expand... hivyo hivyo.
CORAL JF-Expert Member Jun 26, 2011 2,789 1,782 Sep 9, 2012 #5 Nenda: Menu-settings-connectivity-packet data-chagua when needed Huenda kwenye simu yako kuna lugha tofauti, check for something like that.
Nenda: Menu-settings-connectivity-packet data-chagua when needed Huenda kwenye simu yako kuna lugha tofauti, check for something like that.
nurbert JF-Expert Member Feb 26, 2012 1,887 427 Sep 9, 2012 #6 kwa mm nazan unaweza kua na apps ambazo zna run automaticly.! Appz znyw n kama whatsapp na nimbuz,! So kama unazo hz appz bas ndo tatzo
kwa mm nazan unaweza kua na apps ambazo zna run automaticly.! Appz znyw n kama whatsapp na nimbuz,! So kama unazo hz appz bas ndo tatzo
Makbel JF-Expert Member Aug 14, 2011 774 165 Sep 9, 2012 #7 Ebu nitafute kwa namba hizi 0717577755 au 0787577755 kwa msaada zaidi kama upo Dar es salaam!
rickymj Senior Member Apr 19, 2012 125 10 Sep 9, 2012 #8 Like the partner above who tokd ov appz nadhan ndo issue iliopo kwamba atakuwa anaMINIMIZE badala ya kuEXIT xo ukiminize lazma ibaki online na mkwanja unatembea if dnt uz bundlez au any cheatz!
Like the partner above who tokd ov appz nadhan ndo issue iliopo kwamba atakuwa anaMINIMIZE badala ya kuEXIT xo ukiminize lazma ibaki online na mkwanja unatembea if dnt uz bundlez au any cheatz!