Msaada wa haraka wapendwa

Msaada wa haraka wapendwa

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,189
Reaction score
29,748
Vyuo vya diploma vya serikali vinavyofundisha masomo ya sayansi yani Biology na Chemistry naomba nivijue.Nataka nimwone dogo.
Asante
 
Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani
 
Havionekani hivyo vyuo pale utapoteza hela vinavyo kuja ni vya Certificate tuu labda kesho
 
Nenda pale Rabinsia tegeta ukapime kwanza kujua ugonjwa uko hatua gani
Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie.
 
Mkuu mshana usinifanyie hivi kaka,namhangaikia dogo plz.Ulivonijibu sijapenda kwakweli,ila Mungu akusaidie.
Ok naomba uniwie radhi sana
Pale Hospitali ya Rabinsia tegeta wanatoa matibabu ya vidonda vya tumbo lakini ni mpaka wampime mgonjwa wajue hivyo vidonda viko stage gani kisha watakupa dawa na matibabu kulingana na stage
Sorry again
 
Back
Top Bottom