I can now confirm that policemen and women have contained the situation at Mwakaleli Sec School.
Nobody died, one taken to hospital and a number of teachers wounded.
Hoja ya msingi hapa,
1) Katika matukio kama haya ambayo yanatokea kila siku kwenye jamii yetu, nani alaumiwe? Waalimu au wanafunzi?
2) Nini kifanyike ili kuyakomesha?
Njimba