Msaada wa haraka wa tution

Msaada wa haraka wa tution

texaz mc

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2016
Posts
371
Reaction score
205
Habari, natafuta tution centre za dar es salaan ili kujiandaa na kidato cha tano, masomo ni PCB. iwe na walimu wazuri.
 
Table teaching unaitaji, unamaliza topic mapema na kuelewa vizur
 
Habari, natafuta tution centre za dar es salaan ili kujiandaa na kidato cha tano, masomo ni PCB. iwe na walimu wazuri.
701fe122e81a0a37ec0ef7304e9120f8.jpg
karibu sana mkuu
 
Tangazo lenu nililiona but mko mbali sana mimi niko chanika
Sawa mkuu, ila unakaribishwa kuja kufanya mazoezi ya practical, kutoka chanika kuja yombo unapanda gari mbili,

Gari ya kwanza unapanda kutoka chanika hadi gongo la mboto, ukishuka hapo G/mboto panda gari za kwenda temeke, alafu utashukia yombo kituo cha daladala cha chama!!

Kua chanika mkuu sio tatizo, wapo wanafunzi wanatoka vikindu na mkuranga wanasoma practical hapa! Karibu sana mkuu!!
 
Tangazo lenu nililiona but mko mbali sana mimi niko chanika
Ebo! Kwa hiyo unataka upate hiyo maeneo ya Chanika na Pugu au? kama umeamua kuwekeza kwenye elimu wee wekeza tu.
Vaa uniform zako za shule ili uwe unalipa nauli ya mwanafunzi
 
Ebo! Kwa hiyo unataka upate hiyo maeneo ya Chanika na Pugu au? kama umeamua kuwekeza kwenye elimu wee wekeza tu.
Vaa uniform zako za shule ili uwe unalipa nauli ya mwanafunzi
ok, but ttzo sio nauli coz mm hata nivae nguo gn tena bila kitambulisho badi nalipa nauli ya mwanafunzi tu
 
Sawa mkuu, ila unakaribishwa kuja kufanya mazoezi ya practical, kutoka chanika kuja yombo unapanda gari mbili,

Gari ya kwanza unapanda kutoka chanika hadi gongo la mboto, ukishuka hapo G/mboto panda gari za kwenda temeke, alafu utashukia yombo kituo cha daladala cha chama!!

Kua chanika mkuu sio tatizo, wapo wanafunzi wanatoka vikindu na mkuranga wanasoma practical hapa! Karibu sana mkuu!!
sawa, Asante sana
 
ok, but ttzo sio nauli coz mm hata nivae nguo gn tena bila kitambulisho badi nalipa nauli ya mwanafunzi tu
Kama ni hivyo mkuu safi, karibia ni magari mawili tu kutoka huko chanika hadi hapa yombo dovya, kwenda na kurudi mia nane tu mkuu
 
Kwa physics mtafute Mr.Mtiga yupo mwenge pale karibu na NAKIETE PHARMACY
af kwa chemistry mtafute ANDERSON naye yupo mwenge palepale
 
Kwa physics mtafute Mr.Mtiga yupo mwenge pale karibu na NAKIETE PHARMACY
af kwa chemistry mtafute ANDERSON naye yupo mwenge palepale
uyo jamaa nakumbuka alinichambulia mechanics kama karanga........dah way back@ mr mtiga
 
Back
Top Bottom