Msaada wa haraka unahitajika enyi ndugu, tafadhari pita hapa

Wakuu nadhani ni zaidi ya mwaka nilipost hapa kuwa ninatatizo la kutokwa na mabonge ya damu kwenye mbegu za kiume.

Wengi wenu mlinishauri vizuri sana!!
Moja ya ushauri mkubwa ilikuwa nikapime prostate/ tezi dune.
Nimezunguka kila kona nafanyiwa utra-sound lakini hamna tatizo.
Wakadai ni UTI, kupewa dawa lakini tatizo la damu kwenye sperms linazi.

Wakuu, naogopa kuwachosha.
Naombeni mniambie ni HOSPITAL gani DAR itanipa msaada wa hili, hasa vipimo vikubwa na Huduma nzuri.
Nb. Mimi ni mtumishi namiliki card ya bima ( brown card) zile zenye mwonekani wa blue.

Msaada wenu waku coz by now testacles zinauma kamanimegongwa na kitu, maumivu makali ya mgOngo siwezi kukaa dk tano.
Je ulifanya hicho kipimo cha tezi dume kama ulivyoshauriwa?? Majibu ya kipimo yalikuwaje??

Kuhusu hospital gani uende, unaweza kwenda Muhimbili , Regency, Hindumandal au Kairuki hospital kwani hospital hizo zote zinakubali bima ya afya NHIF na wana Urologists,

Nakushauri wahi upesi hospital ukaonane na Daktari bingwa, tatizo lako unaonana na madaktari general ambao wanaishia kukupima urinalysis tu na kukupa dawa za UTI.

chelewachelewa utamkuta mwana si wako ndugu!!
 
pole sana mkuu nenda hospital kubwa angalau upime ujue tatizo nn.kujua tatizo ni moja ya tiba pia
 
Mkuu moghasa labda wakati wa kutafuta tiba ulikopita huko na huko wataalam walikwambia chanzo cha tatizo lako ni nini?
Wengi walihis ni tezi dume BT kwa umri Wangu dkt akasema
Sasa mkuu labda niulize hapo walipokushauri upime tezi dume je ulipima maana hili haukulitolea mrejesho..
Nilipima mkuu wakadai iko normal pia kwa umri Wangu 28yrs kama haiwezekani kunipata !
 
Jaribu Lancet Lab jengo la Doctor's Plaza pale Morocco mita chache kutoka jengo la Airtel..wana vipimo vya kisasa vya aina nyingi so itakuwa rahisi..na NHiF wanapokea..Polee sana mkuu..
 
Wakuu nadhani ni zaidi ya mwaka nilipost hapa kuwa ninatatizo la kutokwa na mabonge ya damu kwenye mbegu za kiume.

Wengi wenu mlinishauri vizuri sana!!
Moja ya ushauri mkubwa ilikuwa nikapime prostate/ tezi dune.
Nimezunguka kila kona nafanyiwa utra-sound lakini hamna tatizo.
Wakadai ni UTI, kupewa dawa lakini tatizo la damu kwenye sperms linazi.

Wakuu, naogopa kuwachosha.
Naombeni mniambie ni HOSPITAL gani DAR itanipa msaada wa hili, hasa vipimo vikubwa na Huduma nzuri.
Nb. Mimi ni mtumishi namiliki card ya bima ( brown card) zile zenye mwonekani wa blue.

Msaada wenu waku coz by now testacles zinauma kamanimegongwa na kitu, maumivu makali ya mgOngo siwezi kukaa dk tano.
izo zingine huwa ni kama adhabu vipi haukuchepuka na mali ya mtu lakini maana kama wataalam wanasema hakuna tatizo inabidi ugeukie upande wa pili
ni ushauri tu
 
Ukizunguka kote, wakishindwa njoo tukupe mizizi ya magonjwa ya kiume.
NB. Mizizi ni ya uchungu shubiri haioni ndani
 
Back
Top Bottom