Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,203
- 85,311
Aiseeee.....Nenda kafanyiwe maombi... Hakuna linaloshidikana kwa mungu... Pole sana
Ebu ngoja nikae kimya tu
Aiseeee.....Nenda kafanyiwe maombi... Hakuna linaloshidikana kwa mungu... Pole sana
Acha kumpoteza mwenzako, hao waombeaji wenyewe wakiumwa wanaenda hospital!!Nenda kafanyiwe maombi... Hakuna linaloshidikana kwa mungu... Pole sana
Je ulifanya hicho kipimo cha tezi dume kama ulivyoshauriwa?? Majibu ya kipimo yalikuwaje??Wakuu nadhani ni zaidi ya mwaka nilipost hapa kuwa ninatatizo la kutokwa na mabonge ya damu kwenye mbegu za kiume.
Wengi wenu mlinishauri vizuri sana!!
Moja ya ushauri mkubwa ilikuwa nikapime prostate/ tezi dune.
Nimezunguka kila kona nafanyiwa utra-sound lakini hamna tatizo.
Wakadai ni UTI, kupewa dawa lakini tatizo la damu kwenye sperms linazi.
Wakuu, naogopa kuwachosha.
Naombeni mniambie ni HOSPITAL gani DAR itanipa msaada wa hili, hasa vipimo vikubwa na Huduma nzuri.
Nb. Mimi ni mtumishi namiliki card ya bima ( brown card) zile zenye mwonekani wa blue.
Msaada wenu waku coz by now testacles zinauma kamanimegongwa na kitu, maumivu makali ya mgOngo siwezi kukaa dk tano.
Nenda kafanyiwe maombi... Hakuna linaloshidikana kwa mungu... Pole sana
Wengi walihis ni tezi dume BT kwa umri Wangu dkt akasemaMkuu moghasa labda wakati wa kutafuta tiba ulikopita huko na huko wataalam walikwambia chanzo cha tatizo lako ni nini?
Nilipima mkuu wakadai iko normal pia kwa umri Wangu 28yrs kama haiwezekani kunipata !Sasa mkuu labda niulize hapo walipokushauri upime tezi dume je ulipima maana hili haukulitolea mrejesho..
izo zingine huwa ni kama adhabu vipi haukuchepuka na mali ya mtu lakini maana kama wataalam wanasema hakuna tatizo inabidi ugeukie upande wa piliWakuu nadhani ni zaidi ya mwaka nilipost hapa kuwa ninatatizo la kutokwa na mabonge ya damu kwenye mbegu za kiume.
Wengi wenu mlinishauri vizuri sana!!
Moja ya ushauri mkubwa ilikuwa nikapime prostate/ tezi dune.
Nimezunguka kila kona nafanyiwa utra-sound lakini hamna tatizo.
Wakadai ni UTI, kupewa dawa lakini tatizo la damu kwenye sperms linazi.
Wakuu, naogopa kuwachosha.
Naombeni mniambie ni HOSPITAL gani DAR itanipa msaada wa hili, hasa vipimo vikubwa na Huduma nzuri.
Nb. Mimi ni mtumishi namiliki card ya bima ( brown card) zile zenye mwonekani wa blue.
Msaada wenu waku coz by now testacles zinauma kamanimegongwa na kitu, maumivu makali ya mgOngo siwezi kukaa dk tano.
Wanapokea bima ndio mcall tu hata Kwa ushauri atakusaidiaAsante mkuu!! VP anapokea bima