Msaada wa haraka unahitajika enyi ndugu, tafadhari pita hapa

moghasa

JF-Expert Member
May 7, 2013
1,084
1,251
Wakuu nadhani ni zaidi ya mwaka nilipost hapa kuwa ninatatizo la kutokwa na mabonge ya damu kwenye mbegu za kiume.

Wengi wenu mlinishauri vizuri sana!!
Moja ya ushauri mkubwa ilikuwa nikapime prostate/ tezi dune.
Nimezunguka kila kona nafanyiwa utra-sound lakini hamna tatizo.
Wakadai ni UTI, kupewa dawa lakini tatizo la damu kwenye sperms linazi.

Wakuu, naogopa kuwachosha.
Naombeni mniambie ni HOSPITAL gani DAR itanipa msaada wa hili, hasa vipimo vikubwa na Huduma nzuri.
Nb. Mimi ni mtumishi namiliki card ya bima ( brown card) zile zenye mwonekani wa blue.

Msaada wenu waku coz by now testacles zinauma kamanimegongwa na kitu, maumivu makali ya mgOngo siwezi kukaa dk tano.
 
Pole sana mkuu, I wish ningekuwa na jua nikusaidia ndugu yangu
 
Dr.Kashagama 0756 530767
Rabininsia Memorial Hospital Ipo Tegeta kituo Namanga.

Mcheck atakusaidia
 
Pole sana mkuu. Hebu google hilo tatizo unaweza ukaona ni ugonjwa gani na wanashauri nini. Pole sana.
 
Kairuki ndo hospital kaka ipo daresalaam karibu na makumbusho utapata huduma nzuri sana pale wana accept insurance za aina zoteeeeee
 
Mkuu moghasa labda wakati wa kutafuta tiba ulikopita huko na huko wataalam walikwambia chanzo cha tatizo lako ni nini?
 
Back
Top Bottom