Msaada wa haraka kwenye pc tafadhali

Murano

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
2,056
Reaction score
1,129
habari zenu wadau..
kuna tatizo limejitokeza ghafla kwenye CPU yangu,
nikiwasha haiwaki but taa iliyomo ndani yake ya AUX inawaka, Power supply yangu ni mpya na iko poa coz nimejaribu kuiwasha kupitia computer nyingine imewaka.
TATIZO NI NINI?

Computer yangu ni DELL OPTIPLEX GX620

Ram ni 1GB

ntashukuru kwa msaada wenu wa kiufundi
 
===>Mothet board imeshakufa.
 
===>Mothet board imeshakufa.
Nashukuru mkuu kwa maoni yako,
hivi kuna sababu zinazofanya motherboard ife ghafla? kama zipo ni zip hizo?ili nizingatie ntaponunua new motherboard
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…