Mm nimeipata jana kupitia email yangu, lakin sijui jinsi ya ku confirm nielekeze kiongzSijajua deadline ni lini lakini ile siku ya tarehe 15 majibu yalivyotoka tu, asubuhi yake nilikutana na Text kwenye simu..nacte wamenitumia code za kuconfirm...hivo nilicofirm hapo hapo...unapopata code zile kutoka nacte unaconfirm tu..na kuna wengine wamechelewa kupata wamepata jana..wanatuma kidogo kidogo
Ingia Www.nacte.go.tz ...then utabonyeza hapo kwenye uhakiki wa udahili wa chuo/kozi 2020/2021... Utaweka namba yako ya form 4 na code walizokutumia..utafata maelekezoMm nimeipata jana kupitia email yangu, lakin sijui jinsi ya ku confirm nielekeze kiongz