Msaada wa haraka jamani

Manreal

Member
Oct 1, 2020
9
0
Deadline ya kuconfirm NACTE chuo utakachoenda kwa hii round ya kwanza ni lini? Na je, naconfirm kwa kutumia website yao au
vip?
 
Sijajua deadline ni lini lakini ile siku ya tarehe 15 majibu yalivyotoka tu, asubuhi yake nilikutana na Text kwenye simu..nacte wamenitumia code za kuconfirm...hivo nilicofirm hapo hapo...unapopata code zile kutoka nacte unaconfirm tu..na kuna wengine wamechelewa kupata wamepata jana..wanatuma kidogo kidogo
 
Sijajua deadline ni lini lakini ile siku ya tarehe 15 majibu yalivyotoka tu, asubuhi yake nilikutana na Text kwenye simu..nacte wamenitumia code za kuconfirm...hivo nilicofirm hapo hapo...unapopata code zile kutoka nacte unaconfirm tu..na kuna wengine wamechelewa kupata wamepata jana..wanatuma kidogo kidogo
Mm nimeipata jana kupitia email yangu, lakin sijui jinsi ya ku confirm nielekeze kiongz
 
Mm nimeipata jana kupitia email yangu, lakin sijui jinsi ya ku confirm nielekeze kiongz
Ingia Www.nacte.go.tz ...then utabonyeza hapo kwenye uhakiki wa udahili wa chuo/kozi 2020/2021... Utaweka namba yako ya form 4 na code walizokutumia..utafata maelekezo
Screenshot_20201019-155224.jpg
 
Back
Top Bottom