Habari wanajamvi,msaada wa haraka unahitajika kuna rafiki yangu aliweka call barring for all incoming calls kwenye simu yake mpaka sasa hapokei simu wala sms. Tumejaribu kutoa kwa kutumia namba *35*1111# lakini inagoma pia tumeenda kwenye call settings ili kucancel lakini inadai password na kila password tunayoweka inagoma(0000)(1234) wajuvi wa hizi kazi mnisaidie.
natanguliza shukrani
Sent using
Jamii Forums mobile app