Msaada wa gharama za uhamisho

Msaada wa gharama za uhamisho

RUSOWEA

Member
Joined
Jul 25, 2016
Posts
22
Reaction score
2
Habarini wapendwa,

Hivi inapotokea mtumishi wa serikali hususani mwalimu kuhamishwa, je gharama za kumlipa zikoje ?
 
Inategemea umehamishwa au umejihamisha mwenyewe
 
Kama ni ndani ya halmashauri hiyohiyo utalipwa 10% ya mishahara yako ya mwaka mmoja.

Kama ni nje ya halmashauri utalipwa pesa ya kujikimu(per diem X siku 14) na pesa ya mizigo (3000 kwa kila 1km). Kama una mke naye ataambulia pesa ya kujikimu.Kama una watoto nao watalipwa nusu ya pesa unayopewawewe ya kujikimu.

Niko tayari kukosolewa kama nimekosea mahali.
 
Kama ni ndani ya halmashauri hiyohiyo utalipwa 10% ya mishahara yako ya mwaka mmoja.

Kama ni nje ya halmashauri utalipwa pesa ya kujikimu(per diem X siku 14) na pesa ya mizigo (3000 kwa kila 1km). Kama una mke naye ataambulia pesa ya kujikimu.Kama una watoto nao watalipwa nusu ya pesa unayopewawewe ya kujikimu.

Niko tayari kukosolewa kama nimekosea mahali.
Ukiwa ndani ya halmashaur haulipwi pesa ya kujikimu
 
Back
Top Bottom