.Msaada wa form yangu ya mkopo

.Msaada wa form yangu ya mkopo

Jana na lei

Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
8
Reaction score
1
Ndugu wana jf naombeni mnisaidie , form yanguimeandikwa incomplete afu kwenye majina ya waliokosea kuomba mkopo simo, nilisahau kutuma form no 2na 5,
 
nenda kwenye akaunti yako nenda namba 2• kisha download na print hiyo fomu. kisha chukua ukurasa wa pili na tano kapitishe kisha rud uapload.
Option ya kuaplod hawajaiweka
 
Back
Top Bottom