Msaada wa dharura, mtoto wa kiume kutosimamisha uume

Jambo Tz

JF-Expert Member
Jul 19, 2013
670
203
Wadau kwanza natanguliza shukrani kwa kuwa Naona jinsi michango ya hali na mali kama inavyoo onyesha
Naomba msaada kama kichwa cha Habari kinavyoo onyesha, ndugu wana jamvi kijana wangu anapokojoa hasimamishi uume kama ilivyo kwa watoto
Kijana wangu ana umri wa miaka sita
Nawashukuru wadau
 
Wadau kwanza natanguliza shukrani kwa kuwa Naona jinsi michango ya hali na mali kama inavyoo onyesha
Naomba msaada kama kichwa cha Habari kinavyoo onyesha, ndugu wana jamvi kijana wangu anapokojoa hasimamishi uume kama ilivyo kwa watoto
Kijana wangu ana umri wa miaka sita
Nawashukuru wadau

Hii post muhimu kweli, wana JF Msaada pliz.
 
Duh kwahiyo wewe kila ukojoapo unadinda? Au kukojoa yale mambo ndo umemaanisha?
 
Usimchunguze wakati anakojoa mchunguze wakati anaamka asubuhi utapata majibu. Kama hasimamishi wakati anaamka hapo kutakuwa na tatizo.
 
Duh ngoja tuombe msaada wa Dr Riwa ni mtaalam wa sekta ya afya anaweza kukusaidia.
 
Last edited by a moderator:
Alisha simamisha alfajir?

mchunguze kama anaamka asubuhi mchunguze, kwa kawaida watoto wakiamka asubuhi huwa ipembe husimama, na sijui kwa nini?
 
mkuu hana tatizo uwe na amani sawa ila kwa msaada zaidi muone specialist wa watoto wapo wengi tu hapa mjini
 
Duh kwahiyo wewe kila ukojoapo unadinda? Au kukojoa yale mambo ndo umemaanisha?
Kwa kawaida inapaswaiwe hivyo hasa kila asubuhi anapoamka kwenda kukojoa. kama hauko hivyo una tatizo la nguvu za kiume.
 
Ana umri gani? Hiyo hali nimuda gani sasa tangu imuanze....
wangu ana 11 years, mama mtu ndo alianza kuona hali hiyo, akanitaarifu. nami baada ya kumchunguza nimegundua ni kweli, dogo mashine haisimamamia subuhi kama walivyo watoto wengine.
 
Mvizie akiwa amelala kati ya saa 10 alfajiri na saa 12 alfajiri,pitisha mkono kwenye maeneo yake hapo ndipo utaweza kujua kama yuko fiti au la.
 
wangu ana 11 years, mama mtu ndo alianza kuona hali hiyo, akanitaarifu. nami baada ya kumchunguza nimegundua ni kweli, dogo mashine haisimamamia subuhi kama walivyo watoto wengine.

If i were you i Could have Killed him! he is impotent.
 
Inatakiwa Ujiridhishe kweli hasa Alfajiri anapokua amelala kabla ya Kumpiga bastola.
 
Alipokuwa bado mchanga wakati anakatwa kitovu km kiligusa gegedo basi huyo kashaisha habar yake
 
Back
Top Bottom