Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Jamani ndungu yangu anasumbuliwa na fangasi miaka mitano sasa bila kupona, zimekuwachronic anajisikia maumivu makali , anawashwa muda wote, korodani zimejikunja na zimekuwa ngumu sana, dama alizotumia gentroderm, whitefield,sonardem,tarbenafine,betamethasone, ketoconazole, clotrimazole .ni fangus wa korodani ,jamani anayejua dawa ya kumsadia amsadie ,blood screen alishapimwa na akapewa dawa bila kupona, hana magonjwa mengine zaidi ya hilo