Msaada wa dawa ya kupunguza usingizi

Wakuu, habari za wakati huu.

Nimekuja kwenu kuomba msaada wa dawa ya kupunguza kulala.

Nalala mapema sana, naweza kulala sa 1, sa 2 au hata sa 12 kama nimewahi kurudi nyumbani.

Nahitaji dawa angalau ya kuniweka macho angalau hadi sa 4 au sa 5 usiku. Hii ya kulala mapema inanikwaza sana. Nilipokua mdogo nilikua naweza kulala hata kuanzia sa 11 jioni. Na nilipokua mdogo zaidi naambiwa nikilala sa 11 jioni nitaamka kesho sa 5 au sa 4 asubuhi, watu walikua wanadhani nimekufa. Sasa hili naona linaniandama hadi sasa. Nilipokua nasoma shule ya bweni, naambiwa nikae prep hadi sa 4 ilinishida, sa 2 tu nishaenda kulala au nalala darasani.

Angawaje nawahi kuamka hata kama nikilala sa 10 ikifika sa 12 lazima niamke ila hii ya kuwahi kulala inaniboa sana.

Naweza kua mahala labda Bar ingawa sinywi pombe kwa ajili ya kubuy time ili nisiwahi kulala ila muda wote nahisi usingizi.

Naombeni msaada wa natural remedies au hata over the counter medications.

Ahsanteni sana.
An addiction is always cured by another addiction, hakuna dawa nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulala au usingizi unasababishwa na aina fulani ya vichocheo katika mwili wako.

Muda halisi wa kulala unatokea baada ya mwili kuzoeshwa au kufundishwa kwamba ukifika mida fulani unatakiwa ulale kwa kusababishwa na vichocheo/hormones.

Ndio maana unaposafiri au kubadilisha jiografia yenye tofauti kubwa ya masaa au muda huleta athari katika mpangilio wa usingizi

Kwa kifupi ujifunze kuzingatia muda wa kulala kwa kujizoesha ingawa itachukua muda mrefu ila utaweza kumudu.

Ila pia kama haina athari katika maisha yako na ya wengine uchape usingizi mwanangu na ufurahie maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui mpaka leo mumeo ni mzee, mama watoto najua unasubiri kuchukua urithi tu ukale bata na vijana age yako Mungu anakuona

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakuona kijana ndiyo maana bado naringishiaga mashosti.
Hapana urithi ni kwa ajili ya kulelea watoto wetu, si unajua umepata mtoto wa kwanza ukiwa 45unadhani ukiondoka Mimi nitawaleaje?

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Wakuu, habari za wakati huu.

Nimekuja kwenu kuomba msaada wa dawa ya kupunguza kulala.

Nalala mapema sana, naweza kulala sa 1, sa 2 au hata sa 12 kama nimewahi kurudi nyumbani.

Nahitaji dawa angalau ya kuniweka macho angalau hadi sa 4 au sa 5 usiku. Hii ya kulala mapema inanikwaza sana. Nilipokua mdogo nilikua naweza kulala hata kuanzia sa 11 jioni. Na nilipokua mdogo zaidi naambiwa nikilala sa 11 jioni nitaamka kesho sa 5 au sa 4 asubuhi, watu walikua wanadhani nimekufa. Sasa hili naona linaniandama hadi sasa. Nilipokua nasoma shule ya bweni, naambiwa nikae prep hadi sa 4 ilinishida, sa 2 tu nishaenda kulala au nalala darasani.

Angawaje nawahi kuamka hata kama nikilala sa 10 ikifika sa 12 lazima niamke ila hii ya kuwahi kulala inaniboa sana.

Naweza kua mahala labda Bar ingawa sinywi pombe kwa ajili ya kubuy time ili nisiwahi kulala ila muda wote nahisi usingizi.

Naombeni msaada wa natural remedies au hata over the counter medications.

Ahsanteni sana.
Njoo maskani tule bangi, uone kama usingizi utakuja mapema

"ᵀʳʸ ⁿᵒᵗ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ᵇᵘᵗ ʳᵃᵗʰᵉʳ ᵗʳʸ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ᵛᵃˡᵘᵉ✓"
 
Mimi nakuona kijana ndiyo maana bado naringishiaga mashosti.
Hapana urithi ni kwa ajili ya kulelea watoto wetu, si unajua umepata mtoto wa kwanza ukiwa 45unadhani ukiondoka Mimi nitawaleaje?

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kijana mzee bado tunadai, tutafute mtoto wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom