mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,681
- 105,634
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 mweeh atazeeka kabla ya wakati wakeTafuta mwanamke mwenye kisirani
Mkuu kula Codeine phosphate 30mg Kuanzia Uchovu Maumivu viungo kulegea hamu ya kula mzigo inakomesha vyote..kuna jamaa yangu leo ana miezi sita Ngangari ni vibaya.
Eh kwa hyo usingz utakujaMkuu kula Codeine phosphate 30mg Kuanzia Uchovu Maumivu viungo kulegea hamu ya kula mzigo inakomesha vyote..kuna jamaa yangu leo ana miezi sita Ngangari ni vibaya.
Trust me sio ule wa fofofo usingizi mwanana halafu inakupa hamu ya mbunye unaamka unapanda unapiga unashuka unalala.
DuhTrust me sio ule wa fofofo usingizi mwanana halafu inakupa hamu ya mbunye unaamka unapanda unapiga unashuka unalala.
An addiction is always cured by another addiction, hakuna dawa nyingineWakuu, habari za wakati huu.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa dawa ya kupunguza kulala.
Nalala mapema sana, naweza kulala sa 1, sa 2 au hata sa 12 kama nimewahi kurudi nyumbani.
Nahitaji dawa angalau ya kuniweka macho angalau hadi sa 4 au sa 5 usiku. Hii ya kulala mapema inanikwaza sana. Nilipokua mdogo nilikua naweza kulala hata kuanzia sa 11 jioni. Na nilipokua mdogo zaidi naambiwa nikilala sa 11 jioni nitaamka kesho sa 5 au sa 4 asubuhi, watu walikua wanadhani nimekufa. Sasa hili naona linaniandama hadi sasa. Nilipokua nasoma shule ya bweni, naambiwa nikae prep hadi sa 4 ilinishida, sa 2 tu nishaenda kulala au nalala darasani.
Angawaje nawahi kuamka hata kama nikilala sa 10 ikifika sa 12 lazima niamke ila hii ya kuwahi kulala inaniboa sana.
Naweza kua mahala labda Bar ingawa sinywi pombe kwa ajili ya kubuy time ili nisiwahi kulala ila muda wote nahisi usingizi.
Naombeni msaada wa natural remedies au hata over the counter medications.
Ahsanteni sana.
Wewe ukitoka kazini pitia kwenye duka la dawa muhimu chukua bidhaa zako ukifika home baada ya mlo gonga kimoja 30mg halafu ni pm
OkWewe ukitoka kazini pitia kwenye duka la dawa muhimu chukua bidhaa zako ukifika home baada ya mlo gonga kimoja 30mg halafu ni pm
Mimi ni mwanaume mkuu.
Mimi nakuona kijana ndiyo maana bado naringishiaga mashosti.Hujui mpaka leo mumeo ni mzee, mama watoto najua unasubiri kuchukua urithi tu ukale bata na vijana age yako Mungu anakuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo maskani tule bangi, uone kama usingizi utakuja mapemaWakuu, habari za wakati huu.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa dawa ya kupunguza kulala.
Nalala mapema sana, naweza kulala sa 1, sa 2 au hata sa 12 kama nimewahi kurudi nyumbani.
Nahitaji dawa angalau ya kuniweka macho angalau hadi sa 4 au sa 5 usiku. Hii ya kulala mapema inanikwaza sana. Nilipokua mdogo nilikua naweza kulala hata kuanzia sa 11 jioni. Na nilipokua mdogo zaidi naambiwa nikilala sa 11 jioni nitaamka kesho sa 5 au sa 4 asubuhi, watu walikua wanadhani nimekufa. Sasa hili naona linaniandama hadi sasa. Nilipokua nasoma shule ya bweni, naambiwa nikae prep hadi sa 4 ilinishida, sa 2 tu nishaenda kulala au nalala darasani.
Angawaje nawahi kuamka hata kama nikilala sa 10 ikifika sa 12 lazima niamke ila hii ya kuwahi kulala inaniboa sana.
Naweza kua mahala labda Bar ingawa sinywi pombe kwa ajili ya kubuy time ili nisiwahi kulala ila muda wote nahisi usingizi.
Naombeni msaada wa natural remedies au hata over the counter medications.
Ahsanteni sana.
Kijana mzee bado tunadai, tutafute mtoto wa piliMimi nakuona kijana ndiyo maana bado naringishiaga mashosti.
Hapana urithi ni kwa ajili ya kulelea watoto wetu, si unajua umepata mtoto wa kwanza ukiwa 45unadhani ukiondoka Mimi nitawaleaje?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hapana mkuu. Zinasaidia?Vip arv hutumii?
Hapana mkuu, sio mnene. Niko wastan.Hatari mwanaume kulala hivyo mkuu, vipi mwili wako ni mnene sana ?
Sent using Jamii Forums mobile app