Zogoo da khama, Kikohozi kingine kinatokana na alergy ambayo bado hujajua inasababishwa na nini.
Tiba rahisi ni hii, nenda duka la madawa nunua dawa inaitwa DAZIT, meza kwa siku tano tu ulete mrejesho usipopona mi najitoa jf. Usisahau kunishukuru ukipona
Napenda kutoa shukrani zangu kwa mawazo yenu mliyonipa kutokana na tatizo langu la kikohozi kilicho sababishwa na allergy ya air flesh niliyonunua na kuweka kwenye gari ndio chanzo cha tatizo langu nimetupa siitaki tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.