Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 638
- 607
Habarini za majukumu wanajf nahitaji msaada wa mawazo nasumbuliwa na dry coughing wiki sasa, nimeenda Aga khani hospita kupima vipimo vyote viko sawa bado cha makohozi tu.
Dawa ninazo kama benylin dry cough, azithromycin tablets na citirizine tablets.
Shida nikicheka au kuongea ndo nakohoa sana hadi kichwa kinauma. Mawazo yenu tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ninazo kama benylin dry cough, azithromycin tablets na citirizine tablets.
Shida nikicheka au kuongea ndo nakohoa sana hadi kichwa kinauma. Mawazo yenu tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app