Nafikiri wazo lako la kwanza ni kuku ambalo umeelezea kidogo kwamba una uwezo wa kuwapata kirahisi. Hata siku moja mtu hachaguliwi biashara ya kufanya. Angalia ile biashara unayopenda toka rohoni kwako. Ukitaka ushauri kuhusu masoko basi tutakusaidia kwa hilo.
Asanteni wakuu kwa michango yenu, nimejifunza mengi sana, nitafanyia kazi na kupima kipi ni borana baada ya mchakato nitajawaambia lipi na nini nimefanya Mungu awabariki sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.