Habari
mm ni wakala wa M-pesa vile vile nasajili line so jana simu yangu ya smarphone (ambayo ndio naitumia kusajili line) nili roboot, na app ya kusajili line ilitoka, mwenye hiyo app ya kusajili line naomba anisaidie aumwenye ushauri nn nifanye, Msaada PLease