Msaada wa alieimba huu wimbo

Msaada wa alieimba huu wimbo

slyve Ramon

Member
Joined
Jul 18, 2017
Posts
65
Reaction score
34
Ni nyimbo flani hv I think ni ya south Africa wanaimba (Selebona,Selebona,Selebona) plz wakuu kwa anaejua walioimba huu wimbo Msaada Tafadhal hii nymbo ni ya kitambo kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulikuwa na south African singers like Mamelodi na pia wanawake fulani nimesahau songs zao ila zilikuwa poa sana like mmoja wakiimba iwe zinduna ai zinduna ah
 
Back
Top Bottom