Msaada wa A level books

Oii dogoo janja kama utahitaji kitabu kinaitwa University Physics au wengi wanapenda kuita UP. ...Kwa waliopiga PCM. .PCB na PGM nazani wanakifahamu.
Nauza 65k

Nokia ya Torch
 
tumia mapam dgo ya notc na vitabu vya maswali phz ni abc physics lak na sabini(nunua kopi yake 20elf) ;rogermancaster utakipata hko shle na nelkon edtn ya5 au4 vitaksaidia chemia chukua kopi ya ramsden maswali itakusaidia bioz yapo mengi
 
ckushauli knunua UP dgoooo hcho kitabu nakmbka nilikuwa natumia mm tu shule nzima kinamaswali inatakiwa ule kwanza afu umuombe mungu bt ni easy kama unajua logic za phyz
 
tumia mapam dgo ya notc na vitabu vya maswali phz ni abc physics lak na sabini(nunua kopi yake 20elf) ;rogermancaster utakipata hko shle na nelkon edtn ya5 au4 vitaksaidia chemia chukua kopi ya ramsden maswali itakusaidia bioz yapo mengi
Nmekupata mkuu asante sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo kamua palms Kama mgote na mandia ila usisahau chande ipo ya physics and biology check volume NA syllabus yako
All the best

Zé unique named bwoy
 
Wewe kweli unaenda kupiga msuli umeishajiingiza kwenye jf I wonder kama kweli unaenda kusoma hiyo comb kama kweli unaenda kusoma jf piga chini au endelea nayo lkn ukabadili combi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…